Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
yeah naona taratibu unarejea kwenye hali yake!Ooh vyema
Itakuwa ilikuwa mabadiliko ya hormone tu hapo ..uso umerudi fresh sasa .
yeah naona taratibu unarejea kwenye hali yake!Ooh vyema
Itakuwa ilikuwa mabadiliko ya hormone tu hapo ..uso umerudi fresh sasa .
Ooh niceyeah naona taratibu unarejea kwenye hali yake!
Mwenyewe nimepata kiu nilivyoona neno bar. Lakini si uliniambia umeacha pombe weweWeeèe... daaa ngoja niende bar sasa hivi
Kuna roommate wangu alikuwa ananipiga exile.
Nimetoka na maupako yangu huko nakuta tu kitanda kinatikisika aisee..
Sitamani tena hayo maisha ya hostel.





nimecheka hapa nusu niangushe cm wallah. Hata watu 6, hivi akili za wanachuo wanajijua wao tyuuh.Eeh kumbe
Labda vyumba wanaokaa wawili
Room ya watu wanne je





Uliona juz shouzzSijaona shouss nifanyie namna
Nimemiss kuliona hilo jiko.Lilikua jiko la shule shos!!
Aisee hapanaHata watu 6, hivi akili za wanachuo wanajijua wao tyuuh.![]()
Yaan mambo ya chuon, ni uchafu mtupu khaaah.Aisee hapana
Mambo mengine sio kabisa
So sadYaan mambo ya chuon, ni uchafu mtupu khaaah.
Ahaa kumbe ni ile! Santo sana mzungu wa kwa Obama!😘Uliona juz shouzz
Nimemiss kuliona hilo jiko.
Kumbe ile kitu ulishaitupia hapa before?Ulishaona juz shouzzz.
Wee mr vocha taratibu mambo yako.Kumbe ile kitu ulishaitupia hapa before?
Dah..... ila ile kitu ni balaaa nilitamani kukuomba ruhusa jana nikaitupie kule kwenye ule uzi wa warembo wakali![]()



Shouzzz mie mzungu wapi?Ahaa kumbe ni ile! Santo sana mzungu wa kwa Obama!![]()




Nshazoea mbna, nimepita huko wala sitashangaa,hahahHa..utatapika shous!!



Huchezi mbaliWee mr vocha taratibu mambo yako.
Afu unakumbuka jana uliniahidi nn? Asubuh ndo sahivi, maandizi mapema ujue.![]()
Huchezi mbali
Uko vzr boss,
Endelea kuvuta subira nitaleta hapa leo kuna zawadi za Idd za kutosha hapa usikae mbali





boss km boss.Mimi wala siyo bossboss km boss.