Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa mie ndo napenda wale wa too personal, lazima iwe tofauti kat yangu na yake, akuuuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko tofauti mnoo na hizo tafiti zako.
Nwei mambo yasiwe mengi, tuishi humo tyuuh.
 
Sikufikisha… naomba niuseme hapa..Watasoma..

Kwa wote mnaomwita Satoh ‘dokta… muachee , maana yeye sio dokta na wala hajawahi kufikiria kuwa.

[emoji2215][emoji2215]
Kwann asiseme yeye? Nawee kwann uchelewe kutuambia? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haya tumesikia na kuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…