Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,283
- 108,295
Nimesubiria hadi we ulale...nimeweka na kutoa
Weka sasa
Weka sasa
Ok huyu blonde anaitwa frida kaniambia nikwambie yupo singo.View attachment 1250377
Huyu sio veve hahaaNimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!
Kadiria basi hiyo juzi ni ya lini ?Hahahaha ah wapi wewe
Au sio.
Ndagha fijo
Mbona huu mwandiko kama wa kiume mkuu!?Where's the goddamn ring?? And you gotta be down on one of your knees dude!!

siyo vizuri,, mimi sipo kwenye ile list ya wale uliotaka wasione picha zako lakini nashangaa umezifuta kabla sijaziona..rudisha tafadhali
Nimesubiria hadi we ulale...nimeweka na kutoa
Na sie twakupenda piaNawapenda wote wawili equally

lugha ngapi za wapi??
Mhh we unajua lugha ngapi? Mbona kila lugha unaijua
Nenda bananabaki afrika
Mamangu aliniambia ndege zinaiba watotoSema kweli? Kwanini sasa?
Sijui kama naweza kuacha uoga jamaniAcha uoga bna.
Mbona huu mwandiko kama wa kiume mkuu!?