Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Chako sio kisu ni sime





Nimeshaskia kuringa!!😘😘 sawa Dada angu mzuri
WoyoooNimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!












wooii❤️❤️👀👀👀Nimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!
Kumbe ulikuwa msange tabora?? Mie nilipangiwa rwamkoma musoma ila nikafanyiwa mpango nikaenda ruvu kibaha ndiyo nikapiga pale!!Wewe unanionaje!??
Huu mwili haukujengwa kwa tofali
Ubonge hauji hivi hivi...tumefanya mazoezi ya kutosha pale msange jkt
Huyo poti anajua kama umemfotoa?🤣🤣Niko huku muda huuView attachment 1221356
Sasa Ruvu Lile la watoto walainiKumbe ulikuwa msange tabora?? Mie nilipangiwa rwamkoma musoma ila nikafanyiwa mpango nikaenda ruvu kibaha ndiyo nikapiga pale!!
Hahaha utafanya kazi zangu zisimame wewe notification bila kuwa on ni kazi bureUsijali... Weka Notification tu..
Walamusha sebhoKuna chibonge wangu alienda huko..kurudi khanga ilikua na rangi ya udongo huo.
Na huku tulianza kuzitumia muda sawa,khanga sare.
Mimi nilikua 823jkt Kama unaijua![]()
Dada chibonge naona unajiandaa kula tizi 🔥🔥🔥Nimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!
Weee nani kasema?? Hayo maneno tu hata mimi nilikuwa nayasikia kabla sijaenda ila nilivyoenda nilichokikuta kule mbona nililaani walikuwa wanasema oohh ile kambi ya wagonjwa kwahiyo ni mwendo wa bata tu sasa kwa taarifa yako hao wagonjwa walikuwa wanatengwa ndiyo wanapewa kazi rahisi wengine wote doso kama kawa kama dawa!!Sasa Ruvu Lile la watoto walaini
Hako kasuruali hebu tupia kwa kule rivasiNimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!
View attachment 1221354
this morning..!!
Ughonile nkamuWakuponda anatakiwa atupie full kama huyo kaka hapo tuone sura inaridhisha.
Halafu atakuwa mnyakyusa kweli wanyakyusa tupo juu mawinguni![]()