Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😘😘 sawa Dada angu mzuri
Nimeshaskia kuringa!!
Ngoja niwaaminishe wewe na Saint anne vile nilivyo chibonge wa ukweli.!!

IMG_20191002_065359.jpg


this morning..!!
 
Wewe unanionaje!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huu mwili haukujengwa kwa tofali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ubonge hauji hivi hivi...tumefanya mazoezi ya kutosha pale msange jkt
Kumbe ulikuwa msange tabora?? Mie nilipangiwa rwamkoma musoma ila nikafanyiwa mpango nikaenda ruvu kibaha ndiyo nikapiga pale!!
 
Mna kazi sana nyie watu unajikuta kila kipitacho machoni ni kinono
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13][emoji12][emoji23][emoji23][emoji12][emoji23][emoji13][emoji13][emoji12][emoji23][emoji13][emoji12][emoji23][emoji23][emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Sasa Ruvu Lile la watoto walaini
Weee nani kasema?? Hayo maneno tu hata mimi nilikuwa nayasikia kabla sijaenda ila nilivyoenda nilichokikuta kule mbona nililaani walikuwa wanasema oohh ile kambi ya wagonjwa kwahiyo ni mwendo wa bata tu sasa kwa taarifa yako hao wagonjwa walikuwa wanatengwa ndiyo wanapewa kazi rahisi wengine wote doso kama kawa kama dawa!!
 
Back
Top Bottom