Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mimi ilinivutia tu wimbo wa kisafwa 😂Hiyo Panguso niliona watu wanaisifia sana, nikaitamani
Mimi ilinivutia tu wimbo wa kisafwa 😂Hiyo Panguso niliona watu wanaisifia sana, nikaitamani
Mkuu nilishatupiaga siku ile. Pole kumbe hukuona.




DR wee sitaki, tutagombania na wengine. Ooooh hapo sasa ushakosa fursa.Mie natumia cha Azam![]()
Wewe umepitwa kwelikweli
Inuka sema tawiree
Hadi mimi nimekushinda?






coca mie wa kupitwa hivi? Kwanza ngoja nianze mambo yangu ya kuchangamsha MMU, Anza kumwaga taratibu mdogo wetu..coca mie wa kupitwa hivi? Kwanza ngoja nianze mambo yangu ya kuchangamsha MMU,
Tena nna ubuyu pambeee huo, kheeeeh nikikaa vizur ntaumwaga usiku mnene.
Kassim anaimba yule boya, anabembeleza chaaa.Umeipumzisha tena reaction ya kicheko?🤣
Elo
Oo
Vii
Ii
Wai
Oh
Yuu
I love youu
Sasa nimeshakua nimeshajua...
Sitaki Tena kulia......
Kassim🔥
mweh zakindez tu hizi wewe hazikufai shos!!




mwenzio nasubir handbags OG kutoka Turkey, na Raba Kali kutoka USA, huu mwaka mbna watu watanikoma, Hellow! Umependeza !
Mimi simuelewagi ila huo wimbo wa I love you alimaliza kazi 🙌Kassim anaimba yule boya, anabembeleza chaaa.
Lalalalalallaalaaaaaaaa
Tazama sura yako ilivyo nzuri
Macho mazuri, najihisi rahaaa
Tazama midomo yako mizuri
Miguu mizurii, najihisi raahaa
Tazama unavyonipendeza nipendezaaa, Najihisi rahaa
Tazama ninavyokupenda Nnavyokupenda, Najihisi rahaa
Napenda unavyoniheshimu kiukweli japo sio sana nakuomba zidisha
Napenda kauli zako ni nzuri japo sio sana nakuomba zidisha
Wanaosema asali inazidi utamu kuliko mapenzi nakataaaa
Wanaosema asali inazidi utamu kuliko kupendwa nakataa ayaayaaya
Usiende kwa mganga (usiendeeee baby wangu)
(Usiende mpenzi wangu)
Nisikize mpenzi wangu
Lalalalalalilihaaa lalahaalaaah
EwaaHellow! Umependeza !
Hako ka mkanda kasogeze ukavalie hapo juu ya tumbo chini ya kifua ukabane katanoga zaidi!
Mambo mazuri yanakuja,Anza kumwaga taratibu mdogo wetu..
Hadi mimi nimekushinda.
Nilitumiwa na mtu..nikausikiliza nikaona mzuri..
Ndo wimbo wa Alikiba mzuri kuliko zote ukitoa ule wa Nakshi mrembo.
Utanitoa roho shosssss! Utanipasia Handbag moja mpambe😜😜🤣🤣🤣!!! kwakweli mungu amjalie afya njema na maisha marefu sponsor!!😂😂😂😂mwenzio nasubir handbags OG kutoka Turkey, na Raba Kali kutoka USA, huu mwaka mbna watu watanikoma,
Likizo vacation IBIZA.
a cant wait kwa kweli, oooooohhhhppppssss.
Mweeh🙆Ooooh hapo sasa ushakosa fursa.
Siyo tu wimbo mpya,bali mkali kuliko nyimbo zote hapa bongo.Mambo mazuri yanakuja,
Yaan siamini km kweli kiba ana wimbo mpya, mbna ningejua, mie kiba 4 real tangu zaman, ngoja niutafute huo wimbo.
Sponsor km sponsor?Utanitoa roho shosssss! Utanipasia Handbag moja mpambe!!! kwakweli mungu amjalie afya njema na maisha marefu sponsor!!
Usinisahau kadi tu shos nije nichezeeeeee kama chizi!






Sasa mbna hajafanya hata promo? Katoa kimya kimya?Siyo tu wimbo mpya,bali mkali kuliko nyimbo zote hapa bongo.
Wapige msasa madogo wa 6, NECTA iko mlangoni.
hahahHa...... niache nichitchat kusogeza masaa mie 😜😜!! 🤸Sponsor km sponsor?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Card mbna nitagawa mapema mnoo, tena wadau wa selfika, watakua ktk kamati mbali mbali.
Usichukulie serious, hahahahah.