Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Chombo ya kakaš¤š„
Chombo ya kakaš¤š„
Maisha Magic Bongo, DSTVWanarusha channel gani hizo tamthilia?
Ni wimbo wa Alikiba huo mdogo wetu




kweli nimepitwa na Dunia, hata kiba ana wimbo mpya na sijui? KhaaaaahMie natumia cha AzamšMaisha Magic Bongo, DSTV
Yes kwenye HUBA.Ni kwenye HUBA
Mrembo wapi dokta!!!
Wewe umepitwa kwelikwelikweli nimepitwa na Dunia, hata kiba ana wimbo mpya na sijui? Khaaaaah
Enjoy na Sinema ZetuššMie natumia cha Azamš
tamsana bado nasubiria ujue tangu ile siku bado nipo hapaš!š„°
Shouzzz hereni hizo naziomba,Wengine Idd kesho na keshokutwa!!View attachment 2208452




View attachment 2208466
Na tabia ya kununua vitu vingi unaweka kwenye mfuko kisha ukirudi nyumbani unashindilia![]()






Enjoy na Sinema Zetu![]()



Wifi kama wifiš„š„š„
mweh zakindez tu hizi wewe hazikufai shos!!Shouzzz hereni hizo naziomba,
Nimezikubali mnooooo.
Mkuu nilishatupiaga siku ile. Pole kumbe hukuona.tamsana bado nasubiria ujue tangu ile siku bado nipo hapaš!
Depal wewe hutaki hizo Hereni au tukuache na mambo yako?Shouzzz hereni hizo naziomba,
Nimezikubali mnooooo.
Nilikuwa naangalia mchezo fulani unaitwa Panguso
Nao sijui umepotelea wapi siku hizi...Asha Boko alikuwa ananichekesha.