Selfika na JF: Snap it. Show it

DR wee sitaki, tutagombania na wengine.
Nataka niwe na mtu, had waniulize "wee yule umempendea nn?" Uwiiiiiih
Ingawa sipendagi hizi Stori za kusifiana sifiana uzuri hasa Kwa mwanaume Ila Ngoja nikuambie kitu mrembo wangu..

Haijalishi mwanaume au mwanamke anaponda kiasi gani kuhusu kumiliki mwenza mzuri wa mwonekano ..uhalisia ni kwamba kila binadamu anapenda amiliki mwenza anayevutia Kwa mwonekano..hizi Stori za napenda mwanaume personal ni kufurahisha genge tu

Nakuja na fact nyingine...πŸ˜€
 
Mama mchungaji ebu weka na ka voice note kanogeshe hii nyimbo tafadhali
 
DR wee sitaki, tutagombania na wengine.
Nataka niwe na mtu, had waniulize "wee yule umempendea nn?" Uwiiiiiih
mwisho..

Kila mwanamke anapenda kuwa na mwanaume anayevutia.Kinachofanya mwanamke anakuja na kauli km yako ni either aliumizwa na hao mnaowaita wenye mwonekano au hajiamini..anahisi atatendwa,au ataibiwa,au atasumbuliwa akiwa kwenye ndoa/mahusiano (watu wengi shuhuda zao ni zinazunguka hapo endapo utajaribu kutuliza swali)

Kwa hiyo ana-opt kuchagua hao "personal" ili mambo yasiwe mengi kipindi kwenye ndoa/mahusiano

Hii ina-apply na Kwa wanaume pia,ndy maana wanaume wanapenda Kusema wanawake wazuri ni wa show off Tu,Ila ukitaka kuoa tafta mwenye Sura personal ili maisha yaende..
 
Wewe ni mrembo sn...

Depal hivi ulifikisha ule ujumbe wangu Kwa mahondaw na cocastic ????
Sikufikisha… naomba niuseme hapa..Watasoma..

Kwa wote mnaomwita Satoh β€˜dokta… muachee , maana yeye sio dokta na wala hajawahi kufikiria kuwa.

πŸšΆπŸΌβ€β™‚οΈπŸšΆπŸΌβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…