Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Jumuiya yangu hiyo imenikuza.hahahaha.karibu
Long time kitambo
Jumuiya yangu hiyo imenikuza.hahahaha.karibu
🔥🔥 Una hatari sana mjukuu wa Grahams ..Unachoma ujue, babu atanichapa😅😅
hahahaha.safi sanaJumuiya yangu hiyo imenikuza.
Long time kitambo
🔥🔥 Itakuwa safi sana jana watu wote walibaki wanakukodolea macho.. washikaji wote wa kijiweni roho ziliwatoka kila mtu anaomba namba, wananiuliza ulishuka na yule malaika kutokea wapii.. ama kweli wewe malaika 😁😁😁Kesho jion tena eeh☕
chief poahahahaha.safi sana
Nilimeza mkuuUpo na dawa karibu hapo? Meza mkuu![]()

😂😂😂 uliwapa no au uliwabania?🔥🔥 Itakuwa safi sana jana watu wote walibaki wanakukodolea macho.. washikaji wote wa kijiweni roho ziliwatoka kila mtu anaomba namba, wananiuliza ulishuka na yule malaika kutokea wapii.. ama kweli wewe malaika 😁😁😁
siwezi toa namba kwani mie sitaki maujiko ya kuambatana na malaika mtoto mkali harusu yako ilivyo tamu si gucci wala nini hazifui dafu hadi asa hivi bado ipo kichwani 🙂🙂🙂😂😂😂 uliwapa no au uliwabania?
Kesho mapema sana, tunaanzia lunch hadi dinner😋
ni poa kbs,chiefchief poa
Lakini kuna baadhi ya hatari zinaepukika,Ni hatari mkuu ila maisha yetu yote ni hatari
Usimtag babu jaman, jana nilimuaga naenda kitchen party.siwezi toa namba kwani mie sitaki maujiko ya kuambatana na malaika mtoto mkali harusu yako ilivyo tamu si gucci wala nini hazifui dafu hadi asa hivi bado ipo kichwani 🙂🙂🙂
Grahams mzee
😅😅😅😅 tupi basi malaika cha asubuhi siku iende na mubarakaUsimtag babu jaman, jana nilimuaga naenda kitchen party.
Sasa akiona hivyo italeta noma kesho anifungie ndani
mmh
Unapajua 😅😅
Usipojitoa ufahamuLakini kuna baadhi ya hatari zinaepukika,
Ni vema kuziepuka zinazoepukika ili tubaki kupambana na zisizoepukika.