Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

097C9655-E624-411E-B5FA-292D2C44E1FA.jpeg

Na tabia ya kununua vitu vingi unaweka kwenye mfuko kisha ukirudi nyumbani unashindilia 😬
 
Leo tutakukoma mbona na hiyo chrome🤣
Wewe ni kuangua kicheko tu.


"Mi ninachotaka ulimwengu mzima wajue nimezimika,
Na kama kufanikiwa taratibu sikia mambo yatajipa"
Mara ya mwisho mimi na wewe
Kuonana kipindi kile twasoma
Shule ya msingi kigoma
Najua ulinipenda
Ila hukutaka penzi kulilinda
Ungesema mapema

Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
 
Mara ya mwisho mimi na wewe
Kuonana kipindi kile twasoma
Shule ya msingi kigoma
Najua ulinipenda
Ila hukutaka penzi kulilinda
Ungesema mapema

Iliniuma sana
Mimi leo niko Dar
Aliniyenipenda nishamuoa
Je wataka kumjua jina?
Aitwa Cinderella
Rudi home wewe
Rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma
Waambie nishaoa
Rudi home wewe rudi nyumbani
Wasalimie Kigoma wambie nishaolewaaaa


"Do you remember ulipokwenda safari
Huku nyuma Anne mimi Sina hali
So niseme tu nakupenda sana
Watu wanaumiaaaaaaaaa"
 
Back
Top Bottom