Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Umenielewa vibaya mkuu nimeandika labla unaishi mbinguni kusikofikwa na binadam nje ya Nchi mbona naweza fika usiku na kurejea asubuhi😜Ndio unaniombea nife??? Nipo nje ya TZ
Umenielewa vibaya mkuu nimeandika labla unaishi mbinguni kusikofikwa na binadam nje ya Nchi mbona naweza fika usiku na kurejea asubuhi😜Ndio unaniombea nife??? Nipo nje ya TZ
Old school. Hadi raha yaani
Huku nina uhakika hutofika. Usiku wa Leo utakuwa busy na maandalizi ya mahanjumati ya keshoUmenielewa vibaya mkuu nimeandika labla unaishi mbinguni kusikofikwa na binadam nje ya Nchi mbona naweza fika usiku na kurejea asubuhi😜
Shakmoo MjepMama mchungaji![]()
Auntie wa Junia naona unafanya maandalizi ya Eid
Hiki kiatu kama dark blue nimekielewa

UmejuajeAuntie wa Junia naona unafanya maandalizi ya Eid

Mbona jana nilikuwa canada asubuhi nikarudi Tz usifanye mchezo na ungo😬Huku nina uhakika hutofika. Usiku wa Leo utakuwa busy na maandalizi ya mahanjumati ya kesho
Yan acha tu huko saluni sahiz hakukalikOld school. Hadi raha yaani
Nawapenda rafiki zangu😂Umejuaje
Naona mambomengi nimeamua nimeamua nioshe mwenyew home nikasuke tu bas
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Marahaba boss mkubwaShakmoo Mjep
Kumbe?? Basi Bora malizia tu ndani. Mimi nipo 29 lakini hii nchi nlipo wapo 30 kwahiyo inabidi kesho nitambae nao. HahahahaYan acha tu huko saluni sahiz hakukalik
Alafu mm nakula Idd kesho leo nipo 30
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Eeeh?😃Marahaba boss mkubwa
Hahahaahahahah.Mbona jana nilikuwa canada asubuhi nikarudi Tz usifanye mchezo na ungo😬
Asante.Hiki kiatu kama dark blue nimekielewa
Hahaha Inabidi uswali nao Mambo yaishe mm kesho naenda kuswali zangu IDD nishatimiza 30Kumbe?? Basi Bora malizia tu ndani. Mimi nipo 29 lakini hii nchi nlipo wapo 30 kwahiyo inabidi kesho nitambae nao. Hahahaha