Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Haya rafiki ahsante.Ya kweli tupu 100%![]()



Hayo mambo nishastaafu 😘😘😜Nimeona huu mtanange nikakukumbuka Bosi Ledi. Isije ikawa umeenda filidi mahali kunoa pedagogical skills zako za Kemia umbo lako kali limewachanganya maboya hawa mpaka wamelimana mapanga
View attachment 2202471
Dah nashukuru nilisha move on, ila mfalme mpya mmh no....Usemi utoke wapi sasa soulimeti wakati kila kitu ni self explanatory?
Kawe na siku njema iliyobarikiwa sana. I hope yule boya aliyekupiga chini ulishamfurumusha mazima kutoka moyoni mwako...na kuna mfalme mpya amekalia kiti cha himaya sasa![]()
Kwa hiyo shepu yako watu wanaweza kulimana mapanga hata wewe usijue kinachoendelea? Wanaume akili zetu unazijua lakini?hahahaaaaa....mie nishazseka msukuma!
Hayo mambo nishastaafu![]()
aKwa hiyo shepu yako watu wanaweza kulimana mapanga hata wewe usijue kinachoendelea? Wanaume akili zetu unazijua lakini?
Una mpango wa kuselfika usiku huu Bosi Ledi?
Haya bana. Ngoja nami niondoke hapa sasa. Baadaye basiHahhaaaaaa...sina picha mpya msukuma!!
a



Usiku mwema msukuma mi mwenyewe naenda kulala soon!Haya bana. Ngoja nami niondoke hapa sasa. Baadaye basi![]()
Ukija kuselfika sipo kitanuka Bosi Ledi ohoo!Usiku mwema msukuma mi mwenyewe naenda kulala soon!
AdblockKiupepo mwanana safi sana...mpaka kiusingizi cha kishikaji kinanijia yaani dah!
View attachment 2202785
Hahahaaa.... Saivi Hapana siselfiki possibly keshoUkija kuselfika sipo kitanuka Bosi Ledi ohoo!
Ndiyo. Mkombozi kwa tusiopenda adds mtandaoni!Adblock
Goodnight Boss LadyHahahaaa.... Saivi Hapana siselfiki possibly kesho


Asante msukuma uwe na wakati mwema mkuu!Goodnight Boss Lady![]()
Dah! adhabu hizi hadi tubinue simu lolAround uswahilini
Mama Junia View attachment 2202808
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mfanye mazoeziDah! adhabu hizi hadi tubinue simu lol
