Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huku tuko poa, bado nipo kwa majukumu.

Hahahaa halaf huwez amini mwenyew sijawah bahatika kabisa japo hua natamani nirudi home ila ndio sijui nakwama wapi.
Naishiaga kwa wengine huko[emoji1787][emoji1787]
Kuna haja ya kufanya kikao mimi na wewe ili tulijadili hili suala kwa marefu na mapana yake bageshi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kahawa
IMG-20220427-WA0016.jpg
 
Nimeona huu mtanange nikakukumbuka Bosi Ledi. Isije ikawa umeenda filidi mahali kunoa pedagogical skills zako za Kemia umbo lako kali limewachanganya maboya hawa mpaka wamelimana mapanga [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099]
View attachment 2202471
Mbususu zilivyotapakaa hivi ndio wamefikia hiyo stage [emoji2] hatari sana.
 
Back
Top Bottom