Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Binadamu hawawezi kuacha kuongea ,wataongea kisha baadae watakaa kimya .. unapotezea tu maadam unajua nini unafanya .It is very good for your mental health sema tu ndo tegemea kusemwa - unajiona, unaringa, moody, hupendi ushirikiano, unajitosheleza etc....









naona tulikuwa udongo wa mwisho mwisho 
huku sasa ni asubuhi! Tumeamka salama kabisa!