Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uponyaji uwe juu yako kamandaView attachment 2202264
Bageshiii

Halafu sijui kwa nini nina bahati mbaya na akina bageshi. Hili suala huwa silielewi kabisa yaani. Nilishajaribu kwa Minza wa Nyangokolwa nikapigwa chini. Nkwaya wa Ng'wamoto napo yale yale. Kundi wa Somanda down. Milembe wa Dutwa pale hakuna kitu. Njille wa Bugando napo hakuna. Hata Nchama wa Alabama nako yale yale. Kuna tatizo gani kati yangu na hawa akina bageshi?

Wigelekelo na T 1990 ELY mje mnipe muongozo kwa kweli. Huwa mnafanyeje ili kuwapata akina bageshi wetu?
 
Hamna wao wananiona kila siku wameshanizoea !!
Nimeona huu mtanange nikakukumbuka Bosi Ledi. Isije ikawa umeenda filidi mahali kunoa pedagogical skills zako za Kemia umbo lako kali limewachanganya maboya hawa mpaka wamelimana mapanga
IMG-20220427-WA0048.jpg
 
Bageshiii

Halafu sijui kwa nini nina bahati mbaya na akina bageshi. Hili suala huwa silielewi kabisa yaani. Nilishajaribu kwa Minza nikapigwa chini. Nkwaya napo yale yale. Kundi down. Milembe wa Kidinda pale hakuna kitu. Njille wa Bugando napo hakuna. Hata Nchama wa Alabama nako yale yale. Kuna tatizo gani na hawa akina bageshi?

Wigelekelo na T 1990 ELY mje mnipe muongozo kwa kweli. Huwa mnafanyeje ili kuwapata akina bageshi wetu?
Bageshi jamani😅😅😅
Umenifurahisha ujue

Umeamkaje lakini bageshi
 
Mimi niko poa bageshi...

Natumaini hata nyie hamjambo huko. Nawasubiri hao akina ngosha waje kunipa mwongozo hiyo ishu yangu
Huku tuko poa, bado nipo kwa majukumu.

Hahahaa halaf huwez amini mwenyew sijawah bahatika kabisa japo hua natamani nirudi home ila ndio sijui nakwama wapi.
Naishiaga kwa wengine huko🤣🤣
 
Back
Top Bottom