Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Umetuweza kuigeuza juu chiniAround uswahilini
Mama Junia View attachment 2202808
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app



!!😌😌😌😌 tupia ingine basi mrembo mkali
ShangaziMjombaa
Salama? Lawama?
Shangazi
Pole na majukumu shangazi
Mjomba wako nipo powa nautafuta usingizi hapa
Shangazi hapa nilipo ni baridi kali i think below 10 .. ni ile baridi unaisikia mifupani.. inapenyaa hatariAsante sana mjomba...
Mbona unalala mapema?
Shangazi hebu tushtue kidogo basi tushtukeAsante sana mjomba...
Mbona unalala mapema?






Shangazi hapa nilipo ni baridi kali i think below 10 .. ni ile baridi unaisikia mifupani.. inapenyaa hatari

😂😂 sasa kikubwa huwa kinakuwaje kama hiko ni kidogo😂
Hili swali waulizwe Wasukumasasa kikubwa huwa kinakuwaje kama hiko ni kidogo
![]()



Shangazi hebu tushtue kidogo basi tushtuke![]()
Jizazi. This is a miracle. Nipo aunt!Aahh mjomba haya ngoja nikufanyie mambo..
Wazee hatustui tena tunawaachia vijana...
😀😀😀 Mjomba hiyo hapa hapa Tanzania kwenye moja ya hifadhi chache zilizobaki tanzania na zenye uangalizi mkali kwenye misitu na milima yake.. heater ya kwenye hari ina fail asee .. maji yenyewe yanaganda . sema tumezoaPole sana mjomba...
Upo alaska eehh!
Kwahiyo inabidi uwashe heater au unakoka moto..
Nasikia kwa wasukuma hiyo ni starter 😂😂😂 mnakula sana nyie wataniHili swali waulizwe Wasukuma![]()
Mjomba hiyo hapa hapa Tanzania kwenye moja ya hifadhi chache zilizobaki tanzania na zenye uangalizi mkali kwenye misitu na milima yake.. heater ya kwenye hari ina fail asee .. maji yenyewe yanaganda . sema tumezoa


Msalimie sana mama yetuNimeenda Nkamu mara moja kuwasalimia ila ni Tukuyu kwa Mama Mzaa Chema
Sad.....Yani wakiamua kuanzisha fujo ni fujo haswaa! Sasa olevo ni mixa advance wanavojisevia vibinti vya olevo mungu wangu!!