Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mwamba
20220424_201156.jpg
 
Juice huwa naweza weka, lakini beer zimenishinda, kila nikipita karibu na fridge nasikia bia zinaniita nizinywe, nikifungua kunywa maji ndio zinapiga kelele "tunywe, tunywe", dah, nimeshindwa kabisa kutunza beer.
hii kiboko Mimi nimeshindwa kunywa na siwez tena nilikuwa na bosi wangu mlevi balaa Yan ni karibia kilasiku anakunywa watu wakawa wanasema nitaonja lkn wapi na namsindikiza kabisa nimeishia Azam embe

Mnaokunywa mheshimiwe aise

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
hii kiboko Mimi nimeshindwa kunywa na siwez tena nilikuwa na bosi wangu mlevi balaa Yan ni karibia kilasiku anakunywa watu wakawa wanasema nitaonja lkn wapi na namsindikiza kabisa nimeishia Azam embe

Mnaokunywa mheshimiwe aise

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom