Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,947
- 177,163
πππππππππ weekending mdogo Wangu!!! !!Unaenda wapi boss wetu??
Umegupia mno
πππππππππ weekending mdogo Wangu!!! !!Unaenda wapi boss wetu??
Umegupia mno
Huo msambandwa ulivyo mie hoi..Uliandika nini???Ebu tuone uchoandika ukafuta
![]()
Naomba juice rafikiLeo nmeshinda geto najitundikia dripView attachment 2198081
Msuko unaitwa utumbo? Hahaha
Me leo mpaka kuna shost mmoja wa shule ameniuliza kwani we uwa ni msabato?
Nikamwambia hapana
Kanambia naomba usuke
![]()
Ilikuwaje na car keys frijini? Au ndio kusema umeunganisha na openerLeo nmeshinda geto najitundikia dripView attachment 2198081
Ukiwa umetulia mambo kama haya muhimuLeo nmeshinda geto najitundikia dripView attachment 2198081

Majukum ya quaresma shem boss leide.βοΈβοΈβοΈβοΈβοΈ
usiwe unapotea kihivo shem mchungaji buana!!
Camera tu hio mkuu mie flat screen kabisa!!π Ila asante βοΈβοΈHuo msambandwa ulivyo mie hoi..
Ujue kuna misambandwa hainaga formula, huu wa kwako ni perfect parabola
Halafu hio nguo uliyovaa imenivutia, kumbe upo vizuri kwenye kupangilia bling bling..
Aaah hii kwa ajiri ya watoto wa mchungaji wakija geto nifunza zaburiNaomba juice rafiki
Sana sio mbaya siku moja mojaUkiwa umetulia mambo kama haya muhimu![]()
Bila hyo picha isingeonekana vyemaIlikuwaje na car keys frijini? Au ndio kusema umeunganisha na opener



Juice huwa naweza weka, lakini beer zimenishinda, kila nikipita karibu na fridge nasikia bia zinaniita nizinywe, nikifungua kunywa maji ndio zinapiga kelele "tunywe, tunywe", dah, nimeshindwa kabisa kutunza beer.Leo nmeshinda geto najitundikia dripView attachment 2198081
Mhm kumbe hii avatar yako ina akisi uhalisia wa mambo. Kweli mwanamke takoππππUsiku mwema wana selfika!View attachment 2198070
Kiu mzeeeeIlikuwaje na car keys frijini? Au ndio kusema umeunganisha na opener
Umegupia???Unaenda wapi boss wetu??
Umegupia mno
Me najua tu vitunguu na yebo π€£ sijui nama krochiβ¦Ndio dear unaitwa utumbo wa uzi
Mtu anapendeza sana sema unauma huu refer nywele za uzi zilivyo ...Niliusuka mwaka jana hivi ni msuko mzuri .
Hajawajahi kukuona umesuka eeh ... Huwa unasuka hata mara mbili kwa mwaka kweli ?
Huo mkutano uliambatana nanani lakini ukiamua Anne anazurura tu huku???π€Majukum ya quaresma shem boss leide.
Nilikua naendesha mkutano mkubwa wa injili kule Mbarali mjini
Majukum ya quaresma shem boss leide.
Nilikua naendesha mkutano mkubwa wa injili kule Mbarali mjini
Mzee umetisha...au una company ya warembo....tena naona una geti la remote wakifika tuu unawafungukia bolt mpaka ndani ya mjengoLeo nmeshinda geto najitundikia dripView attachment 2198081
Huo mkutano uliambatana nanani lakini ukiamua Anne anazurura tu huku???π€Majukum ya quaresma shem boss leide.
Nilikua naendesha mkutano mkubwa wa injili kule Mbarali mjini
Majukum ya quaresma shem boss leide.
Nilikua naendesha mkutano mkubwa wa injili kule Mbarali mjini
Juice huwa naweza weka, lakini beer zimenishinda, kila nikipita karibu na fridge nasikia bia zinaniita nizinywe, nikifungua kunywa maji ndio zinapiga kelele "tunywe, tunywe", dah, nimeshindwa kabisa kutunza beer.


nimecheka sana aisee, hizi hazitunziki