Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Umechukua kwa pesa ngapi hizi, mkuu?
Mguu na mpaja unasadifu kuwa yaliyomo yanaweza kuwemo mkuuMechil hapa, nasubiri chelsea inishangaze Saint Anne View attachment 2199032
K ni K


Acha tu izunayeMguu na mpaja unasadifu kuwa yaliyomo yanaweza kuwemo mkuu


Bazunabane mlībadanganu geete...Acha tu izunaye
Nina ka plot hapo goba ya mageti
Nawaza nimpatie
Ila sasa pwipwi nitapewa![]()




Thank you mimi mwenyewe nna tege moja balaa, hivo viatu vinanifichià fichia kidogo😂Lazima tuimbe.
Unadhani tutamwelewa MC eti asitupe nafasi ya kuimba wakati Auntie umehustle hadi kufikia hapo🤣
Sherehe ni watu na watu wenyewe ni wanyakyusa🤭🔥🔥🔥🔥
Umependeza..
Napenda viatu vya hivyo..angalau vitaziba tege langu Kwa chini
Mhh upo vizuri banaThank you mimi mwenyewe nna tege moja balaa, hivo viatu ninanifichià fichia kidogo![]()

Mkuu mambo!
BhagaliaghwaBazunabane mlībadanganu geete...
Ūdūkīma domuJF dūlīnamasala noi. Mgadūchimaga nangī mabūlomolomo guke?![]()


Na unalo kweliThank you mimi mwenyewe nna tege moja balaa, hivo viatu vinanifichià fichia kidogo![]()
Hahaa..akili zako sasa!!Kiji akiba changu kipo hatarini
Najikuta tu
Nihurumie binti wa kichaga
Nina malengo ujue![]()
Kausha.. Unaendeleaje!?Mguu na mpaja unasadifu kuwa yaliyomo yanaweza kuwemo mkuu
Niliirudia sio mpya!
Una miguu mizuri lainiiiii ✌️✌️✌️✌️;