Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Umechukua kwa pesa ngapi hizi, mkuu?Fellas, must have these and use them. Gotta service your body on a regular, man.
View attachment 2196662
Umechukua kwa pesa ngapi hizi, mkuu?Fellas, must have these and use them. Gotta service your body on a regular, man.
View attachment 2196662
Ngoja mfungwe, utatafuta dera/delaMechil hapa, nasubiri chelsea inishangaze Saint Anne View attachment 2199032

Si ndio maana nasubiri kushangazwa 🤣Ngoja mfungwe, utatafuta dera/dela![]()
Darajani wana watoto wakali hivi dahmtoto wa darajani mie

Kwani uliambiwaga darajani kuna wazee tupu?
Sikujua kabisa ebu tupia pic ukiwa na uzi wa chelseaKwani uliambiwaga darajani kuna wazee tupu?
Nikiwa na uzi wa chelsea aje?Sikujua kabisa ebu tupia pic ukiwa na uzi wa chelsea
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Umevaa jersey ya chelseaNikiwa na uzi wa chelsea aje?
Mrembo utatuua daahMjep dakika sifuri View attachment 2199054

Nina njaa balaa hapa...ile mchana tumeivisha tu mgeni huyu hapa ...! Mtu mzima nikavunga eti nilichelewa kunywa chai bado nimeshiba mchana nimekunywa juisi tu hapa ndani hakuna bites hakuna chochote cha kutafunatafuna Kurudi jikoni tena uwiiii!!
!!









Hutaki kuniiga mdogo wetuView attachment 2199018
Nilikuwa napenda kutumia sahani kama hiyo… baada ya kuona wee unayo na kuna nani mwingine alipost anayo, nikaamua kubadilikaNitumie hii au kama hiyo yako ila nyeusi yake



Boss lady mwenyewe huyooo❤Mjep dakika sifuri View attachment 2199054
Mweeh

Kama kawaida mtoto uliyeshindikanaMechil hapa, nasubiri chelsea inishangaze Saint Anne View attachment 2199032
Bora tu hashabikii lile timu la kinyonge dunia nzima
Mbaya zaidi kila Siku binti wa kazi anafujafuja vyakula TU anapika mavyakula kibao yanabaki yanamwagwa ... si nikamuambia dogo maisha magumu vitu vimepanda bei hatari hii tabia yako ipo siku nitawalaza njaa si leo nimeshikilia usukani jikoni kila kitu nimepima eti chakula kikawa balanced...alichonifanyia mgeni sasa
Unakuta naye anakaa sana haondoki haraka.
Mambo ya watu kuja bila taarifa,tena Muda wa chakula.



!!

Halafu amelengesha muda wa chakulaMbaya zaidi kila Siku binti wa kazi anafujafuja vyakula TU anapika mavyakula kibao yanabaki yanamwagwa tu... sinikamuambia dogo maisha magumu vitu vimepanda bei hatari hii tabia yako ipo siku nitawalaza njaa si leo nimeshikilia usukani jikoni kila kitu nimepima eti chakula kikawa balanced...alichonifanyia mgeni sasa
!!
![]()


Madam gushepuuuuu
Mlebanon aliopoa chombo![]()







ukimuona Msalimie sana 



!