B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Sawa mkuu
Mjep dakika sifuri View attachment 2199054
Mjep dakika sifuri View attachment 2199054
Sitaki hata 🤣🤣Hutaki kuniiga mdogo wetu
Hivi ile nanii ya jana ni t au nimekosea?
kutafutiana dhambi za rejareja tu walai!!
Unakuta naye anakaa sana haondoki haraka.
Mambo ya watu kuja bila taarifa,tena Muda wa chakula.
Mweeh
Yaani wewe unakishangaa chakula changu huku huwa unakula nusu yake


umeshiba my darling ex
ChaaaaaSitaki hata
sasa si ndio wewe na yule mwenzio pombe… namkubali sana mwamba yule.








Hehehe Manutd tutawashangaza next seasonBora tu hashabikii lile timu la kinyonge dunia nzima
Mimi na wewe hatuchekani

Ahaaa mimi uwa nakula mara 4 kwa sikuMimi na wewe hatuchekani
Tena heri mimi mwenzio mtoto wa kike![]()
Mumshangaze nani??




Mimi mara 10

Hivi watu huwa hawawezi kutoa taarifa mapema??kutafutiana dhambi za rejareja tu walai!!
Yeye amefika muda uleule kakuta chakula mezani!!!



Kiji akiba changu kipo hatariniMechil hapa, nasubiri chelsea inishangaze Saint Anne View attachment 2199032


🤣🤣🤣 ulitegemea ukutane na utakatifu gani?Chaaaaa
Sikutegemea
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kiji akiba changu kipo hatarini
Najikuta tu
Nihurumie binti wa kichaga
Nina malengo ujue![]()
eti sawa lol!