Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna basics ulikosa mkuu.

Ungezipata hizo basics unge reap benefits zote zinazokuja na plant.

Unamuhitaji mentor pale unapoamua ku engage kwenye a life changing adventure kama holly plant.

Kwa haraka haraka pia hukuupa mmea heshima yake kamili. Hili linadhibitishwa na namna umeu refer hapa
Kwa hio kabla ya kuvuta nasali au vipi?
Hebu nipe taratibu, nimeita bangi kwa sababu kwa kitu ulichonifanya sitosahau, kwanza nililala sakafuni, nikaanza kusikia sauti ya bi mkubwa na mzee wangu wakilalama kwa nini nimevuta bangi, nasikia kabisa wanasema "tumpeleke hospitali ya karibu" kumbe zilikua ni bangi tu.

Hakuna hata aliye kuwepo.

Halafu heart beat kupanda sana hii sio nzuri hasa ukinywa na pombe kiasi, aisee hii kitu hapana kabisa, ilinishinda.

Hili tatizo la heart beat nilifanya research nikagundua linawakuta wengi, unaweza pata heart attack kama ukiwa na hofu sio mchezo.. Achaa niite bangi.
 
Utaniimbia kwenye harusi yangu mdogo angu eeh, wadogo wa bibi harusi hao wana wimbo.... 😂😂
Lazima tuimbe.

Unadhani tutamwelewa MC eti asitupe nafasi ya kuimba wakati Auntie umehustle hadi kufikia hapo🤣

Sherehe ni watu na watu wenyewe ni wanyakyusa🤭🔥🔥🔥🔥


Umependeza..
Napenda viatu vya hivyo..angalau vitaziba tege langu Kwa chini
 
😂😂😂😂 tuliaaaa


Chuo nilikuwepo, mi ni muhudhuriaji mzuri wa shughuli zinazomuhusu Mungu na Kristo…
Kaa hapo kunambia nimeshindikana 🤣
Unahudhuria ndiyo
Ila sasa hiyo shishaaa imenikata maini binti godauni
 
With the homies. I'm covered.

20220424_001821.jpg


20220424_001801.jpg
 
Kwa hio kabla ya kuvuta nasali au vipi?
Hebu nipe taratibu, nimeita bangi kwa sababu kwa kitu ulichonifanya sitosahau, kwanza nililala sakafuni, nikaanza kusikia sauti ya bi mkubwa na mzee wangu wakilalama kwa nini nimevuta bangi, nasikia kabisa wanasema "tumpeleke hospitali ya karibu" kumbe zilikua ni bangi tu.
🤣🤣🤣
Hakuna hata aliye kuwepo.

Halafu heart beat kupanda sana hii sio nzuri hasa ukinywa na pombe kiasi, aisee hii kitu hapana kabisa, ilinishinda.
Ulikua umetupia na ka saraverza kadogo?
Hili tatizo la heart beat nilifanya research nikagundua linawakuta wengi, unaweza pata heart attack kama ukiwa na hofu sio mchezo.. Achaa niite bangi.
Heart beats huwa zinaongezeka kwa mvutaji yeyote (hata wa sigara).

Reason ni kwamba puffs zinaenda na kiasi fulani cha carbon dioxide (monoxide? Sina uhakika sana)

But hii carbon inapoingia kwenye damu, shortage ya oxygen inatokea.

As a result, moyo unakua forced kuongeza speed ya ku pump more oxygen kwenye flow ya damu.

Hiko ndo kilikutokea mkuu.

Next time usifanye vitu nyeti hivi bila mentor
 
Back
Top Bottom