Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nielekeze hapo kwenye vyakula mkuu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Protein kwa sana. Epuka vyakula vya mafuta. Kunywa maji ya kutosha. Piga tizi progressively (ukipiga push ups 100 leo, wiki ijayo ongeza mwili usizoee). Pata muda wa kutosha wa kulala. Pumzika angalau siku mbili bila tizi (hapa ndio mwili unakua). Cha muhimu zaidi, usiwaze sana kuvimba.
 
Back
Top Bottom