Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Wanajikuta wale, yani ikitokea umepigwa tukio linakua tukio kweli kweli
Yaani Unatamani hadi uwasimulie abiria ukiwa kwenye daladala![]()

kila ukikutana na mwananchi story ni hizo...Wanajikuta wale, yani ikitokea umepigwa tukio linakua tukio kweli kweli
Yaani Unatamani hadi uwasimulie abiria ukiwa kwenye daladala![]()

kila ukikutana na mwananchi story ni hizo...Nilikuwa natumia hizi mambo lkn zikanishinda,Mimi ni mvivu wa kuinua mavyuma,Ila push up Niko vizuri,hata mkono mmoja Kama jet li napiga..Ingawa push up zinachelewesha mwili kukaa vizuri Ila one day yes!!View attachment 2196998
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
🙄🙄🙄 maandaamano yanaanza kesho asubuhi.. na msafara unaanzia mwenge tunakupitia kabisa kwako...Mkianza maandamano uniambie na mimi nije kuthibitisha kuwa ni batili 😄
kiondoa stress cha kwanza ni 1. Pound 2. Euro 3. Dollar 😎😎 Pesa ni jawabu la mambo yooteEmbu nipe list ya hivyo viondoa stress nione kwanza japo sidanganyiki😁😁
Nimezisubiria weeee mpaka nimechoka.🥴
Watatuu hawa watu.. nimetoka kwa Wini dah🥲Si
Ndio hapo sasa![]()
Itakuwa Mimi![]()
Nipo mbona?![]()
Kujipa siteresi tu. Cha muhimu ni kuwa na mahusiano mema na ya moja kwa moja na Mungu wako basi. Nyingine zote mbwembwe tu!1. Mungu anawaza nini juu yako
2. Roho nzuri zinawaza nini juu yako
3. Baraza la mbinguni lina jadiri nini juu yako
4. Mbingu zimeamua nini juu yako
5. Mbingu zinafanya nini juu yako
6. Shetani anawaza nini juu yako
7. Roho mbaya zinakuwazia nini
8. Mabaraza ya kipepo yanakuwazia nini
9. Nani mwenye nguvu zaidi juu ya hatma yako ya maisha yako
10. Pesa zinakuwazia nini
11. Mchanga na ardhi vina taarifa gani kuhusu wewe
12. Bahari na viumbe vyake vinajua nini kuhusu wewe
13. Mbingu na angala lake zinazungumza nini juu yako
14. Pepo nne nazo zina taarifa gani kuhusu wewe
15. jua, mwezi na nyota zina taarifa zako zipi
16. Mavazi uliyovaa yamebeba nini
18. Ardhi unayo ishi inasema nini juu yako, imekukubali au imekukataa
19. Miamba, Milima, Vilima , mimea majani vinakutambua ?
20. Thamani zilizo chini ya dunia hii zinaelewa lugha yako au zinakutambua ?
21. Nini chanzo cha nguvu zako?
22. Nguvu ulizo nazo zinaweza kukufikisha kwenye hatma yako ?
23. kati ya nguvu ya mauti na nguvu ya uzima ipi ime dormate ndani yako ?
24. damu yako ina taarifa gani ?
25. Malaika aliebeba hatma hatma yako kalaanika au yupo active ?
26. Malaika wako yupo huru au yupo kifungoni ?
27. Jina lako lipo hai au limekufa
28. Jina lako ni safi au chafu
dah
Heaven Sent
Mbona umetupostia kiuno Mzee Baba? Au wewe ni fally ipupa?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Hahaha, acha kabisa madam!Uko alone
Just you and your cheap android phone
![]()
Acha urongo...hujaelewa nini nifanye kutoa maelezo?Sijaelewa ngoja nikaushe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mbona umetupostia kiuno Mzee Baba? Au wewe ni fally ipupa?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Itakuwa anakutania..Acha urongo...hujaelewa nini nifanye kutoa maelezo?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Wanaringa kama nini ukute na hela ipo sasa hakuna rangi utaacha ona.
Uongo😂😂😂😂😂😂Halafu ni kweli ujue😆
December nitakuja green city unitembeze mitaa yote.