Selfika na JF: Snap it. Show it

Maskini atulie yatamshinda tena.
 
Maskini atulie yatamshinda tena.
Mungu amsaidie apate hitaji la moyo wake na mwanaume ataempenda na kutulia nae.
Yani anajituma jamani yule mwanamke anajituma anachakarika kweli kweli alikua anawapenda na kuwajali Ndugu wa mumewe wanaokuja kuwasalimia yani anawajali balaa sijui kwanini hapo tu ndio amekwama mambo ya wawili wanayajua wenyewe! Anyway tuseme God's time haijafika !
 

Na hili ndio tatizo lililopo ma binti wanaona kama wamechelewa hivi...
 
Kwamba

Ana kiba100 na wewe wataka tango

Ama ndio kina sie kimoja tu chali


Akati unataka ziki la kufunga ntaa

Wewe wataka wa vigezo gani
 

Huyo mwanamke yuko so desperate.

Asipoangalia ataishia pabayaa..
 

Kinachomuharibia ni kiherehere cha kutaka ndoa,mwanaume ukionyesha au kulazimisha ndoa lazima akimbie ..
 
Litakuwa

Li KENZY

Jamaa likorofi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…