Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Id ya zamaniWatu hudhan tunachagua, lkn huweza vaa kiatu n kiatu et kisa unashda na kiatu. Yapasa upate kiatu saiz yako ili kiskubane njian ukakivua ukaanza tembea peku, ndoa n safar ndefu kabla ya kuianza yapasa kujipanga haswa usje kuishia njiani.
Hatuchagui bali tunasubir sahh kwa wakati sahhi.......
Konky languna we unakubali kuwa pressurizedβ¦
Na
Mnachagua hatari
Awe na hofu ya Mungu
Sitaki mlevi
Nataka ensam
Asiwe kibamia na bla bla kibao
Mtazeekea hom nawaambia
NdioWewe
Hupendi
Oi oiiiKonky langu
Mwenyewe
Niajee mamlai
Halafu aniache nizae na mwingine aisee , watoto ni innocent ,ila ikitokea hakuna jinsi .Zaa
Na yeyote
ππSanto sana Eng...... ubarikiwe sana kwa kumbariki alieiwahi!
Niliassume eti kila mtu anafuatilia Nollywood as I do. Maana Kila nilipokuwa nakatiza ni habari za #ReelDeal2022#
Nilikuwa busy kuangalia Asoebi ili nikamstress fundi wanguView attachment 2194995
MweeNdio tena usikute wanajiuliza chini chini hivi huyu Anne vipi kulikoni ?
Ngoja muda ufike kwanza
Aisee kumbe
mimi naona watanisumbua maana yeye kila siku wadada wanamshobokea tena awe smart na apake marashi mazuri aisee hapo wadada hawakauki ,yeye anajichotea tu .
Ensamu face hawajahi kuwa chaguo langu , mimi mwenyewe nipo rough hivi nawezaje kuwa na mwanaume mzuri hivyo.
Ebu tuone picha kwanza ndo ujitoe kwenye group la ensamu face.. halafu mimi sio mrembo wala nini .
Ohoo na sokoni?Mie nawaacha tu nikiwambia bado hawaelewi
Naenda sokoni sana huko sasa ndo balaa
Huwa ipo hivyo sanaHalafu cha kushangaza asilimia kubwa ya handsome men huwa wana end up na wanawake wa kawaida sana...
Ndio sokoni hapoOhoo na sokoni?
Kudate mwanaume kama Van inataka sana moyo, mwanaume mzuri kama mdoli.Huwa ipo hivyo sana
Watu wanawachamba weh wake zao ..
Wakiamua kweli wameamua
Mfano Van Vicker watu walijua ataoa chombo balaa kumbe yeye kaenda kwa mdada mwenye uzuri wa kawaida.
Duh! Hiyo ni kuvuka mipaka sasaNdio sokoni hapo
Huko ndo nimepachoka sema hakuna jinsi
Wabongo tulivyo wacheshi sisi hapo hapo kwenye kununua kitu tayari amegusia swala la mume .
kitambo sana...nilitaka kuolewa nilipomaliza form 6 ndugu wakakataa bado mdogo.... akasubiri huku tunaiba iba ila nikama nilikua nimeolewa nae tu kwani likizo zote za chuo muda mwingi nilikua naenda kwake ananihudumia kama mkewe Ndugu zake wanajua wangu wanajua.. 3rd year akanitundika mimba! Na tukafunga nae Ndoa rasmi 2016! Sasa tuna watoto wawiliNaona wewe tayari ushafunga ukurasa, unalea tu sasa.
Aisee πππππNdio sokoni hapo
Huko ndo nimepachoka sema hakuna jinsi
Wabongo tulivyo wacheshi sisi hapo hapo kwenye kununua kitu tayari amegusia swala la mume .
Mdoli kweli aiseeKudate mwanaume kama Van inataka sana moyo, mwanaume mzuri kama mdoli.
Hapana nasikiliza tu napotezea
Sema ukiambiwa frequently lazima somo utaelewa tu .