Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
🤣🤣Nitokee hapa na macho yako kama mayai ya samaki. Ulinipa mafuta nikawa na kitambi?
Hivi upo?
Kama upo nakusalimia tu mimi
🤣🤣Nitokee hapa na macho yako kama mayai ya samaki. Ulinipa mafuta nikawa na kitambi?
Niitie Davet wangu kwanza 🙂Chaaaaaah!!!!🙆♀️
Siku zote mbona huniambiii!!!
Sijapenda na nyie wote mlioleta hizo mada mtaingizwa kwenye moto wa kumkaanga shetani😂




E bwana eeeh???Niitie Davet wangu kwanza
afu nikwambie nini? Na uliamua mwenyewe kuvutia sigara karibu na sheli



Sawa mkurugenzi




Nakuja
Sahani kama yangu jamani mideko
Kwa kuziangalia tu hizi ndizi ni tamu mno
Mamaa wa misosi!😋😋😋😋😋😋
Godauni for life 😹E bwana eeeh???
Umeingizia na sheli tena?
Tulia kwanza hapo godauni
Ngoja tukupe energy drink...
Muache Davet tafadhali..anakamilisha madili huko atuokoe majobless,,namuandalia vijana wa kupiga kazi.
Ila mdogo etu Sijapenda kabisa
Hivi upo?
Kama upo nakusalimia tu mimi
😅😅Sahani kama yangu jamani mideko
Kama niniUkienda mrudi na kitu kinachoeleweka![]()
🤣🤣🤣Mamaa wa misosi!😋😋😋😋😋😋
Mwambie aweke 🤣🤣🤣 kwani mimi ndio nimezishika jamaniIla mdogo etu Sijapenda kabisa
Mmemtishia boss ledi ameshindwa kuweka screenshot.
Mbona huwaga tunaweka tu hapa na hakuna chochote kinachotokea.
Tuachie boss wetu aiseeGodauni for life![]()
Hizo deals zipo tu, hanaga baya…. Ila muiteeee
Mimi nikimuita ni call mpaka saa 8![]()







Si nyie mmemtisha ooh ban na blah blah zenu kibao.Mwambie awekekwani mimi ndio nimezishika jamani
