Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,977
- 177,200
Good morning shangazi Strawbella !✋! Nimekuona unapita kwa mbaliiii
Yooo shemeji niajeShukrani sana
mkuu asante kwa pongezi!
wozaaaaa shem akeee!✌️✌️✌️😘Yooo shemeji niaje
Tufanye leo jioni ujiandae nitakuja kukuchua vizuriii afu taratiiiibuuuu staili ya kibabu babu!!😜😜Hahahaha.........Kwa jinsi ninavyo umwa ningetamani uniletee hata Sasa hivi hiyo dawa 🙊
Leo mvua nyingiiii
😂😂😂😂😂 sitaki dhambiItakuwaje sasa na kabati sina?
Hadi vibaka wanapita nayo madirishani
Zote hizi ni changamoto za kukaa stoo
Ila huyu wa kuanzisha makapu mbinguni haendi.
Weeee sisi ndiyo Utu na UtulivuBangi zenu zinaenda sambamba vichwani![]()
Hivi mmliki wa makapu ni nani?sitaki dhambi
Na makapu yenu hayo

Hapo kwenye kawimbo mliupiga mwingi
Kijani mbele kwa mbele
Unaniangusha mkuu... ukawaacha kwenye mataa Kelsea na shangazi ile siku hawajaona asee

