Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi natamani kumuuliza tu bro japo sina mazoea nae why anapenda kuchukua wa Jf bandika bandua.
Ngoja mahondaw atusaidie kumwita aisee
Hata Mimi natamani kuuliza.

Na wanaochukuliwa hivi wanajisikiaje?
Au ndo mtu anaona ameokota dodo kwenye mnazi??
Maana unaona kabisa mwenzio alichukuliwa akapigwa chini,mwingine alichukuliwa akapigwa chini,zoezi likaendelea hadi likamfikia.

Au ndo wanaamini kwenye Imani upendo na muujiza kwamba hali itaenda kubadilikia Kwake hatapigwa chini
 
IMG_20220419_011051.jpg
 
Sio mtu wa mitandao kabisa... Yeah we have unfinished Business kwakweli sijui nielezeje ili unielewe!
Binafsi im not into him (mchepuko) anymore hata yeye anajua hilo Ningekua na njia ya kuhibitishiesha ningethibitisha hilo ila no way!
Nimesema we have unfinished business kwa sababu ambazo I need details enough details kwakweli Saivi nikama kakangu au Ndugu yangu na majuzi after a Long silence nikashangaaa trobaaaahhh umekuaje tena weye .. Haya nini kimekupata huko ulikokuwa hatoi majibu yaliyonyooka anapinda pinda tu tukachambana hapooo badae tunapatana he gives me ABC about snichtes na kuniadvice kitu fulani kuhusu jf..hii ni Juzi kama juzi...
(Najua kuna wataopeleka hizi info )
He's my best friend ever!
Kama ni kweli.....
Huoni kama kuna siku anaweza akaja akaingia JF out of curiosity? Afu imagine anakutana na comments zako like "mchepuko wako unahaha; you two are having an unfinished business etc. Na kama ulivyoongea huko kuhusu maugomvi sijui majungu kisa mchepuko wako hadi unaanzishiwa threads, it looks like bado unampambania mchepuko kutoka kwa wanawake wengine; is there any man/husband who can tolerate that? Mumeo ni hawahawa waume zetu wa kibongo ninaowafahamu au?
 
Ngoja mahondaw atusaidie kumwita aisee
Hata Mimi natamani kuuliza.

Na wanaochukuliwa hivi wanajisikiaje?
Au ndo mtu anaona ameokota dodo kwenye mnazi??
Maana unaona kabisa mwenzio alichukuliwa akapigwa chini,mwingine alichukuliwa akapigwa chini,zoezi likaendelea hadi likamfikia.

Au ndo wanaamini kwenye Imani upendo na muujiza kwamba hali itaenda kubadilikia Kwake hatapigwa chini
Tena Mwanamke aliomchukua safari hii 😬😬kuna ile kukomoana ngoja nijionee
 
Ngoja mahondaw atusaidie kumwita aisee
Hata Mimi natamani kuuliza.

Na wanaochukuliwa hivi wanajisikiaje?
Au ndo mtu anaona ameokota dodo kwenye mnazi??
Maana unaona kabisa mwenzio alichukuliwa akapigwa chini,mwingine alichukuliwa akapigwa chini,zoezi likaendelea hadi likamfikia.

Au ndo wanaamini kwenye Imani upendo na muujiza kwamba hali itaenda kubadilikia Kwake hatapigwa chini
Pesaaaaaa!

Tena anahakikisha wanajuana kabisa!
 
Back
Top Bottom