Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kwahiyo una maana kwamba wanaangalia pesa??Pesaaaaaa!
Tena anahakikisha wanajuana kabisa!
Kwahiyo una maana kwamba wanaangalia pesa??Pesaaaaaa!
Tena anahakikisha wanajuana kabisa!
Hensham. Nitakuja niwapeleke shule kesho
Akazidi kufanyika kichwa na wala si mkia IJN
Nilijua ni utani kumbe bwana shem kabeba chombo mpya humu humuMimi natamani kumuuliza tu bro japo sina mazoea nae why anapenda kuchukua wa Jfbandika bandua.
duh!!Huwa sisherehekei sikukuu yo yote mpendwa. Labda tu ya kifo changu kitakapotokeaMpendwa hata karibu ya pasaka![]()

Tuma rafiki tukuoneKwahiyo humu tunatuma picha siyo ?
Ninachoona unajiingiza tu kwenye drama ambazo ungeweza kuziepuka tu, ukaendelea na ndoa yako kwa amani. Mlishaachana, humuhitaji; ila kutwa unaingizwa kwenye magomvi sijui unaanzishiwa threads za majungu (as you said); kwa nini wewe unaingizwa kwenye mambo yake na wakati wewe ni ex?Sio mtu wa mitandao kabisa... Yeah we have unfinished Business kwakweli sijui nielezeje ili unielewe!
Binafsi im not into him (mchepuko) anymore hata yeye anajua hilo Ningekua na njia ya kuhibitishiesha ningethibitisha hilo ila no way!
Nimesema we have unfinished business kwa sababu ambazo I need details enough details kwakweli Saivi nikama kakangu au Ndugu yangu na majuzi after a Long silence nikashangaaa trobaaaahhh umekuaje tena weye .. Haya nini kimekupata huko ulikokuwa hatoi majibu yaliyonyooka anapinda pinda tu tukachambana hapooo badae tunapatana he gives me ABC about snichtes na kuniadvice kitu fulani kuhusu jf..hii ni Juzi kama juzi...
(Najua kuna wataopeleka hizi info )
He's my best friend ever!
Unataka uone nini bibie ?Tuma rafiki tukuone
Jamanii mpendwa why kifo wenzio wakisto wote ni sikukuuHuwa sisherehekei sikukuu yo yote mpendwa. Labda tu ya kifo changu kitakapotokea![]()
Boss lady nimekumiss selfika basiAimeeennnnn🙏🙏🙏🙏
Sina habari za mahusiano nae tena ...nilikoma nikatubu mazima kama kuna taarifa mlizisikia ni fekero sasa ngoja niwape mkanda mzima muamini msiamini sio kesi yangu niwape nisiwapeee🤸🤸🤸😜😜Oh kumbe
Kwahiyo unachukulia advantage yeye kutokuwa mtu wa mitandao kutaka kusolve Tena ishu zako na mzee wa miongozo?
Vipi ukifanya utatubu tena?
Rejea ulichosema pale juu kwamba mna mambo yenu ugomvi sijui Nini!!
Mimi sikulaumu Boss Lady. Kumuacha mpenzi/mchumba/mke kwa zaidi ya miezi mitatu ni kujitafutia kuchapiwa tu hata ufanyeje labda ubahatishe sana sijui upate mke wa aina gani. Mimi nilimwacha wa kwangu kwa miezi minane nikawa nimefanya maandalizi kila kitu kuja kurudi kumchukua nikaikuta pisi ina kitumbo cha miezi minne mapenzi ndi ndi ndi na lifisadi limoja hivi. Basi pisi nikaiachia tu iende japo mpaka leo tuko marafiki sana.Ohooo.... Just because my hubby yuko nje ya nchi huwa anakuja mara 3 au 4 kwa mwaka so nina muda mwingi tu



Na wewe usisahau bestTuma rafiki tukuone
Afu Mtumishi usiniharibie usiku wanguHuwa sisherehekei sikukuu yo yote mpendwa. Labda tu ya kifo changu kitakapotokea![]()


poapoa bosi wetu wa vocha.. in Anne's voice 😜😜🤣🤣Boss lady nimekumiss selfika basi
Hata ukucha tuUnataka uone nini bibie ?
Mie nipo likizoNa wewe usisahau best

Za likizo ndo nzuri sasaMie nipo likizo![]()
Dah....❤
Ninachoona unajiingiza tu kwenye drama ambazo ungeweza kuziepuka tu, ukaendelea na ndoa yako kwa amani. Mlishaachana, humuhitaji; ila kutwa unaingizwa kwenye magomvi sijui unaanzishiwa threads za majungu (as you said); kwa nini wewe unaingizwa kwenye mambo yake na wakati wewe ni ex?
Kuachana sio ugomvi; ila I can imagine mume wangu awe na ex ambaye ni best friend ake forever. Aaaah thubutuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app









