Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sina habari za mahusiano nae tena ...nilikoma nikatubu mazima kama kuna taarifa mlizisikia ni fekero sasa ngoja niwape mkanda mzima muamini msiamini sio kesi yangu niwape nisiwapeee🤸🤸🤸😜😜
Kwa kweli shoga ishikilie ndoa yako kwa mikono miwili kama una ugwadu mfate huko huko mdhamini mtu anayekuita mke wangu Mama ni hayo tu
 
Mimi sikulaumu Boss Lady. Kumuacha mpenzi/mchumba/mke kwa zaidi ya miezi mitatu ni kujitafutia kuchapiwa tu hata ufanyeje labda ubahatishe sana sijui upate mke wa aina gani. Mimi nilimwacha wa kwangu kwa miezi minane nikawa nimefanya maandalizi kila kitu kuja kurudi kumchukua nikaikuta pisi ina kitumbo cha miezi minne mapenzi ndi ndi ndi na lifisadi limoja hivi. Basi pisi nikaiachia tu iende japo mpaka leo tuko marafiki sana.

Wanawake wengi hasa hizi pisi kali vishawishi ni vingi mno na kabisa haziwezi kuvumilia. Na sasa hivi nikiwa na pisi kali siiwachi hata kwa mwezi mzima. Kama inachapwa pembeni ichapwe na mimi nikiwepo lakini siyo kusingizia upweke.

Bosi Ledi kinachonishangazaga ni kwamba unafanya mambo yako openly tu wala hujifichi. Ndo maana inakuwa vigumu sana kuamini kama una mume. Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!

Ndoa ndoana lakini hata kwa vijana mnaooa sasa hivi. Kamwe msikubali kuwaacha wake zenu kwa zaidi ya mwezi mzima kama bado mnawapenda. Wewe huko uliko utakuwa unachepuka na yeye huko atakuwa anachepuka pia japo kuna wachache wavumilivu sana!

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani

Nafikiri wengi wetu kigugumuzi kilikuwepo hapo kwenye kuwa na audacity ya kuchepuka halafu mnapublicise mahusiano yenu mitandaoni. Hayo mengine as long as alitubu kweli kwa mumewe na kwa Mungu wake; sisi hatuna neno.

Btw; Wanawake ana uwezo wa kustahimili ukame kwa muda mrefu sana, labda tu atakuwa ana-crave sana your attention; mawasiliano yawepo mazuri na constantly. Wakati mwingine distance sio excuse, ni tabia zetu tu binafsi. Mbona wengine wapo wote daily na unakuja kushtukia mwenzio ana mimba ya mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20220313_160427.jpg


Kelsea
 
Back
Top Bottom