Na wewe usisahau kuselfika mkuu๐๐๐๐jamaniii Mama mchungaji nimecheka kwa sauti na machozi juu๐๐๐๐๐๐๐๐
Na wewe usisahau kuselfika mkuu๐๐๐๐jamaniii Mama mchungaji nimecheka kwa sauti na machozi juu๐๐๐๐๐๐๐๐
Oooh tupeeeeeeeeeeeeeSina habari za mahusiano nae tena ...nilikoma nikatubu mazima kama kuna taarifa mlizisikia ni fekero sasa ngoja niwape mkanda mzima muamini msiamini sio kesi yangu niwape nisiwapeee๐คธ๐คธ๐คธ๐๐
Umeamua kunikomesha eeh
haya ahsante ulale sasa.Shukrani sana.Umeamua kunikomesha eehhaya ahsante ulale sasa.
Ndiyo. Kuchapiwa unaweza kuchapiwa hata kama wote mmejifungia chumbani hamtoki 24/7. Kinachosemwa hapa ni ile ya kuongeza vishawishi. Mkeo yuko mpweke. Ana male besties huko maofisini na kwingineko. Mabro wa kiroho kibao...na wewe uko mbali. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia hasa siku hizi.Nafikiri wengi wetu kigugumuzi kilikuwepo hapo kwenye kuwa na audacity ya kuchepuka halafu mnapublicise mahusiano yenu mitandaoni. Hayo mengine as long as alitubu kweli kwa mumewe na kwa Mungu wake; sisi hatuna neno.
Btw; Wanawake ana uwezo wa kustahimili ukame kwa muda mrefu sana, labda tu atakuwa ana-crave sana your attention; mawasiliano yawepo mazuri na constantly. Wakati mwingine distance sio excuse, ni tabia zetu tu binafsi. Mbona wengine wapo wote daily na unakuja kushtukia mwenzio ana mimba ya mtu mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka kule juu sijui Mjep aliselfika, huwezi amini hata sijaona, nipo busy na maongezi๐๐๐๐jamaniii Mama mchungaji nimecheka kwa sauti na machozi juu๐๐๐๐๐๐๐๐
"Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!"Mimi sikulaumu Boss Lady. Kumuacha mpenzi/mchumba/mke kwa zaidi ya miezi mitatu ni kujitafutia kuchapiwa tu hata ufanyeje labda ubahatishe sana sijui upate mke wa aina gani. Mimi nilimwacha wa kwangu kwa miezi minane nikawa nimefanya maandalizi kila kitu kuja kurudi kumchukua nikaikuta pisi ina kitumbo cha miezi minne mapenzi ndi ndi ndi na lifisadi limoja hivi. Basi pisi nikaiachia tu iende japo mpaka leo tuko marafiki sana.
Wanawake wengi hasa hizi pisi kali vishawishi ni vingi mno na kabisa haziwezi kuvumilia. Na sasa hivi nikiwa na pisi kali siiwachi hata kwa mwezi mzima. Kama inachapwa pembeni ichapwe na mimi nikiwepo lakini siyo kusingizia upweke.
Bosi Ledi kinachonishangazaga ni kwamba unafanya mambo yako openly tu wala hujifichi. Ndo maana inakuwa vigumu sana kuamini kama una mume. Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!
Ndoa ndoana lakini hata kwa vijana mnaooa sasa hivi. Kamwe msikubali kuwaacha wake zenu kwa zaidi ya mwezi mzima kama bado mnawapenda. Wewe huko uliko utakuwa unachepuka na yeye huko atakuwa anachepuka pia japo kuna wachache wavumilivu sana!
#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani








Nimewaza hii kitu hawa wanaume zetu wengi wao wangekua washapiga chini baada ya kuujua ukweli. Amshikilie sana mumewe.mahondaw dear mume wako anakupenda mnoo, yani sio kidogo.. Ni neema Hiyo Mungu amekupa, si kila mtu anaweza kuipata.. usiiachilie.. wengine wasikusumbue kichwa chako hata..
Yeah sure. Ingawa kuna muda ndiyo inabidi sasa muwe mbalimbali; si unaelekea maisha yetu haya ya kutafuta huku na kule. Mungu atusaidie aiseeNdiyo. Kuchapiwa unaweza kuchapiwa hata kama wote mmejifungia chumbani hamtoki 24/7. Kinachosemwa hapa ni ile ya kuongeza vishawishi. Mkeo yuko mpweke. Ana male besties huko maofisini na kwingineko. Mabro wa kiroho kibao...na wewe uko mbali. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia hasa siku hizi.
Fimbo ya mbali haiui nyoka....
Wapenzi/wanandoa wawe pamoja labda pale tu inapobidi. Na ikitokea wakatengana basi wasitengane zaidi ya miezi mitatu. Vinginevyo wasilaumiane!
Kwa kweli shoga ishikilie ndoa yako kwa mikono miwili kama una ugwadu mfate huko huko mdhamini mtu anayekuita mke wangu Mama ni hayo tu


Kabisa shost, wala hujakoseaNimewaza hii kitu hawa wanaume zetu wengi wao wangekua washapiga chini baada ya kuujua ukweli. Amshikilie sana mumewe.
Mi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu SiweziNinachoona unajiingiza tu kwenye drama ambazo ungeweza kuziepuka tu, ukaendelea na ndoa yako kwa amani. Mlishaachana, humuhitaji; ila kutwa unaingizwa kwenye magomvi sijui unaanzishiwa threads za majungu (as you said); kwa nini wewe unaingizwa kwenye mambo yake na wakati wewe ni ex?
Kuachana sio ugomvi; ila I can imagine mume wangu awe na ex ambaye ni best friend ake forever. Aaaah thubutuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli. Wanaume ikija kwetu ni no excuse ya kuchepuka.Nimewaza hii kitu hawa wanaume zetu wengi wao wangekua washapiga chini baada ya kuujua ukweli. Amshikilie sana mumewe.
Yaani mambo ya urafiki sijui mshkaji aisee hayapo hayoHuyo kiumbe asimsogeze karibu yake tena kuna kupasha kiporo mara Mume kawakuta balaa japo siombei itokee






Mimi leo wanaoselfika nimewasehe tu,nitapitwa.Nimecheka kule juu sijui Mjep aliselfika, huwezi amini hata sijaona, nipo busy na maongezi
Kabisa amuepuke mno binafsi sina urafiki wa Ex tuwe tumeachana kwa amani au ugomvi.Yaani mambo ya urafiki sijui mshkaji aisee hayapo hayo![]()
Kumbe ulijuengua?Mi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu Siwezi
So hadi sasa hivi hujajua kabisa kwa nini unaingizwa kwenye drama za X? Kwamba from nowhere tu wanakuhusisha na X? Sawa uzushi na uongo huwa upo; ila hapa fuatilia aisee; kuna mlango ambao umeuacha wazi na ndiyo huo ambao unaruhusu madrama mobMi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu Siwezi
Mkurugenzi apate energy drink"Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!"
![]()