Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nafikiri wengi wetu kigugumuzi kilikuwepo hapo kwenye kuwa na audacity ya kuchepuka halafu mnapublicise mahusiano yenu mitandaoni. Hayo mengine as long as alitubu kweli kwa mumewe na kwa Mungu wake; sisi hatuna neno.

Btw; Wanawake ana uwezo wa kustahimili ukame kwa muda mrefu sana, labda tu atakuwa ana-crave sana your attention; mawasiliano yawepo mazuri na constantly. Wakati mwingine distance sio excuse, ni tabia zetu tu binafsi. Mbona wengine wapo wote daily na unakuja kushtukia mwenzio ana mimba ya mtu mwingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo. Kuchapiwa unaweza kuchapiwa hata kama wote mmejifungia chumbani hamtoki 24/7. Kinachosemwa hapa ni ile ya kuongeza vishawishi. Mkeo yuko mpweke. Ana male besties huko maofisini na kwingineko. Mabro wa kiroho kibao...na wewe uko mbali. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia hasa siku hizi.

Fimbo ya mbali haiui nyoka....

Wapenzi/wanandoa wawe pamoja labda pale tu inapobidi. Na ikitokea wakatengana basi wasitengane zaidi ya miezi mitatu. Vinginevyo wasilaumiane!
 
Mimi sikulaumu Boss Lady. Kumuacha mpenzi/mchumba/mke kwa zaidi ya miezi mitatu ni kujitafutia kuchapiwa tu hata ufanyeje labda ubahatishe sana sijui upate mke wa aina gani. Mimi nilimwacha wa kwangu kwa miezi minane nikawa nimefanya maandalizi kila kitu kuja kurudi kumchukua nikaikuta pisi ina kitumbo cha miezi minne mapenzi ndi ndi ndi na lifisadi limoja hivi. Basi pisi nikaiachia tu iende japo mpaka leo tuko marafiki sana.

Wanawake wengi hasa hizi pisi kali vishawishi ni vingi mno na kabisa haziwezi kuvumilia. Na sasa hivi nikiwa na pisi kali siiwachi hata kwa mwezi mzima. Kama inachapwa pembeni ichapwe na mimi nikiwepo lakini siyo kusingizia upweke.

Bosi Ledi kinachonishangazaga ni kwamba unafanya mambo yako openly tu wala hujifichi. Ndo maana inakuwa vigumu sana kuamini kama una mume. Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!

Ndoa ndoana lakini hata kwa vijana mnaooa sasa hivi. Kamwe msikubali kuwaacha wake zenu kwa zaidi ya mwezi mzima kama bado mnawapenda. Wewe huko uliko utakuwa unachepuka na yeye huko atakuwa anachepuka pia japo kuna wachache wavumilivu sana!

#KuchapiwaHakuepukiki
#KitandaHakizaiHaramu
#Kuchapiwanisiriyandani
"Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!"

 
Ndiyo. Kuchapiwa unaweza kuchapiwa hata kama wote mmejifungia chumbani hamtoki 24/7. Kinachosemwa hapa ni ile ya kuongeza vishawishi. Mkeo yuko mpweke. Ana male besties huko maofisini na kwingineko. Mabro wa kiroho kibao...na wewe uko mbali. Ni wanawake wachache sana wanaoweza kuvumilia hasa siku hizi.

Fimbo ya mbali haiui nyoka....

Wapenzi/wanandoa wawe pamoja labda pale tu inapobidi. Na ikitokea wakatengana basi wasitengane zaidi ya miezi mitatu. Vinginevyo wasilaumiane!
Yeah sure. Ingawa kuna muda ndiyo inabidi sasa muwe mbalimbali; si unaelekea maisha yetu haya ya kutafuta huku na kule. Mungu atusaidie aisee
 
Ninachoona unajiingiza tu kwenye drama ambazo ungeweza kuziepuka tu, ukaendelea na ndoa yako kwa amani. Mlishaachana, humuhitaji; ila kutwa unaingizwa kwenye magomvi sijui unaanzishiwa threads za majungu (as you said); kwa nini wewe unaingizwa kwenye mambo yake na wakati wewe ni ex?

Kuachana sio ugomvi; ila I can imagine mume wangu awe na ex ambaye ni best friend ake forever. Aaaah thubutuuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu Siwezi
 
Nimewaza hii kitu hawa wanaume zetu wengi wao wangekua washapiga chini baada ya kuujua ukweli. Amshikilie sana mumewe.
Kwa kweli. Wanaume ikija kwetu ni no excuse ya kuchepuka.

Ashikilie ndoa yake, na heshima yake yeye binafsi pamoja na mumewe. Kila siku unahusishwa na drama za ex mchepuko; kwako binafsi tu sio heshima
 
Mi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu Siwezi
Kumbe ulijuengua?
Tuambie ilikuwaje.
 
Mi mwenyewe nashangaa kama unavyoshangaa wewe ma mchungaji tena kwa sasa mimi sio x tena tusema ni Z sasa kuna maswali najiuliza sipati majibu kwamba mimi nafanyeje hizo jitihada labda eti za kumrusha OMG! seriously sielewi kwanza naanzaje mimi yani mtu nijiengue mwenyewe kisha nitake kujirudisha mwenyewe tena naona tunapangwa live bila chenga yani waziwazi mbona hainiingii akilini kwakua nilijiengua mwenyewe kupunguza jam yeah kupunguza jam tena sio ile ya kiugomvi ilikua peaceful means kabisa katu Siwezi
So hadi sasa hivi hujajua kabisa kwa nini unaingizwa kwenye drama za X? Kwamba from nowhere tu wanakuhusisha na X? Sawa uzushi na uongo huwa upo; ila hapa fuatilia aisee; kuna mlango ambao umeuacha wazi na ndiyo huo ambao unaruhusu madrama mob

Btw ulianzishiwa uzi gani huo niusome labda nitaambulia moja au mbili
 
Back
Top Bottom