wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Mdada tena 😀😀😀
Yupi tena huyo??!!
Mdada tena 😀😀😀
Tupia tu za zamani nkamu,utuokoe.Hata na mapicha picha mapya basi Nkamu![]()
Yupo humu.Mdada tena
Yupi tena huyo??!!

Wee ukifka hapo IAA sema hivi "wee flan usalimiwa na cocastic" yeye ataelewa,Simjui mtu huyo





Usiku wote huusi ungewaambia walale
Wee siku hizi pamekuwa pazuriiii, kuna ghorofa inaangushwa pale, hizo garden humo ndanihao Suma JKT wako na hiyo kiherehere 1
![]()
IAA imekuwa ya moto kimazingira afu ni kama imetanukasiku hizi napaona pakubwaa afu wanafunzi shaziii









Weka ile picha yako ya komwe la kisogoni huenda ukapata bwana anaependa aina hiyo ya makomwe,weka tu usione aibu huwezi jua bwana atafanya nini juu yako!.Kwingine wapi!!
Huku huku nje ya mji 🤣
Say hellow to her!!!Easter to see my daughterView attachment 2188187
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Pale dinning ni pazuri mnoo.Easter to see my daughterView attachment 2188187
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app



Aisee
Kumbe umeniacha🙆🏾🙆🏾🙇🏼♀️🙇🏼♀️
Mdogo wangu hujarudi bombi nyumbi easterPale dinning ni pazuri mnoo.![]()
Hii


Hahaaa...Hii
Ni wax
Nakusalimia boss ledi![]()




sasa siku 7 jaman niende msamala kweli? Aaah wee nimeamua kubaki tyuuh.Shost umenoga mnoo, niazime dela lako.


