Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
🤣🤣🤣🤣! Nakuletea shos angu tena ni refu balaa wewe kwa urefu litakutosha vizuri!😘😘Shost umenoga mnoo, niazime dela lako.![]()
🤣🤣🤣🤣! Nakuletea shos angu tena ni refu balaa wewe kwa urefu litakutosha vizuri!😘😘Shost umenoga mnoo, niazime dela lako.![]()
Dela bila .... ni kanzu tuHahaaa...
Dela la kawaida hilo Wige!
Shukrani sana salamu nimezipokea kwa mikono miwili...
Habari za Siku mbilitatu!
Ukivaa litadondoka mkuuShost umenoga mnoo, niazime dela lako.![]()

Hahahaaa.... Niko Njema sana Eli.. selfika basi sijaona selfii yako kitambo sana ujue!!Dela bila .... ni kanzu tu
Hujambo mkuu
Wee huyo ni mrefu litampendeza !Ukivaa litadondoka mkuu![]()
Tupo sawaHahaaa...
Dela la kawaida hilo Wige!
Shukrani sana salamu nimezipokea kwa mikono miwili...
Habari za Siku mbilitatu!
PM yako ni nomaaa, kila nkituma text wapiiii. Kila nkitumaa wapiiih. Eeeeh haya bhana, mnafunga mnaogopa nn kwan?! Nakuletea shos angu tena ni refu balaa wewe kwa urefu litakutosha vizuri!
![]()






KwambaWee huyo ni mrefu litampendeza !


Vizuri sana kama ni njemaHahahaaa.... Niko Njema sana Eli.. selfika basi sijaona selfii yako kitambo sana ujue!!
Chizi hili ngosha la Itigi msieeew.Kwamba
Anaweza kulifinyia
Kwenye mfinyo wake
Na likakubali![]()





Mrefu ndiyo ila sasa pakushikiriwa dela nyuma hamnaWee huyo ni mrefu litampendeza !

Sina makalio kwan? Nakalia kichwa au tumbo?Mrefu ndiyo ila sasa pakushikiriwa dela nyuma hamna
Huwa napenda kukutana/kumuona mwanamke/mdada kavaa dela halafu kalichomeka upande fulani hivi ndani ya niniliu





Selfika bhas
Hahaha.....mkuu Wigelekelo kwemaKwamba
Anaweza kulifinyia
Kwenye mfinyo wake
Na likakubali![]()
ktk ubora wako boss lady
Hahahaaa..Wige amekuambukiza Eli.... Umekua mpambe!Mrefu ndiyo ila sasa pakushikiriwa dela nyuma hamna
Huwa napenda kukutana/kumuona mwanamke/mdada kavaa dela halafu kalichomeka upande fulani hivi ndani ya niniliu
Itakuwa unakaliaSina makalio kwan? Nakalia kichwa au tumbo?![]()