Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Fudi cheini 


St Patrick MorogoroPasipo makosa Mkombozi wetu,
Katika baraza ya wakosefu,
Na wote walia ‘asulibiwe’,
Aachwe Baraba na Yesu afe
2. Ee Yesu washika msalaba wako,
Na unakubali kufa juu yake,
Ee Yesu useme sababu gani,
Ya nini mateso makali haya?
3. Ni pendo kwa Bwana wa uwinguni,
Ni huruma yangu kwa wakosefu,
Ewe mkristu kumbuka mateso yangu,
Uache makosa, uache dhambi

Wewe unalionaje hilo mkuu?Ni wewe tu na roho yako!
Tuendelee kubarikiwa 🙌
Yuda 😀😀Boss ledi
Umempeleka wapi![]()
Nimetoka kusindikiza wageni hapa😃Saa 8 niko zangu geti la IAA 😎
Unalea online au 🤣
Niwaulize nyie mlikompeleka boss wetuBoss ledi
Umempeleka wapi![]()
Endelea kubarikiwa mkuu, na kumsindikiza Kristu kwenye safari yake ya ukombozi.Tuendelee kubarikiwa
Yan hapa najifeel like St. Felista
Niko na kina Perpetua View attachment 2187793
Usiku wote huu 😜 si ungewaambia walaleNimetoka kusindikiza wageni hapa😃
IAA daah nimepamiss




WachaaUsiku wote huusi ungewaambia walale
Wee siku hizi pamekuwa pazuriiii, kuna ghorofa inaangushwa pale, hizo garden humo ndanihao Suma JKT wako na hiyo kiherehere 1
![]()
IAA imekuwa ya moto kimazingira afu ni kama imetanukasiku hizi napaona pakubwaa afu wanafunzi shaziii
Wabaya afu wanafkiiiEndelea kubarikiwa mkuu, na kumsindikiza Kristu kwenye safari yake ya ukombozi.
Ila wayahudi wabaya sana, ina maana tokea saa moja ile usiku wa leo walipomkata walihenyesha kaka kesho saa tisa ndio ana maliza mateso!!? Hata kulala hakika? Kweli bwana yesu aliteseka mno!
Sent using Jamii Forums mobile app
MnoLinanifaa![]()