cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,243
Nimependa mazingira jaman hasa hapo chini.



Nimependa mazingira jaman hasa hapo chini.



Njoo tule kwanza
Upo weye??Nimependa mazingira jaman hasa hapo chini.![]()
Nipo kwangu tayari mchumba.
Namaliza naingia ndani kijana ameharibu Bomba..maji yamejaa nyumba nzima.
Wanawake tumeumbwa mateso matesoo kuhangaika.








Nikutajie ingne?Id niliyopewa hata nikiitafuta siipati, naona alishabadili.






Shida ugali huo ni sembe naona na kataperaNjoo tule kwanzaView attachment 2186558
Kwa akina niingie na fyatu fyangu!
Ubwabwa



Umepapendea nini?Nimependa mazingira jaman hasa hapo chini.![]()
Uliushape kama ugali haya weka izo cubes 7 ndo ntashiba mm

Upo mwingi sana bossUliushape kama ugali haya weka izo cubes 7 ndo ntashiba mm
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Ntapanda sauli kesho mapema tuUpo mwingi sana boss