Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ulitaka
Uwe Onyinye wa kwa mama john pale mafiat
Kyela kuzuri mna dongo zuri
Mna niaje safi![]()




Sasa Mimi nakaa kule mama Joni ndanindani karibu na Ilemi
Ulitaka
Uwe Onyinye wa kwa mama john pale mafiat
Kyela kuzuri mna dongo zuri
Mna niaje safi![]()




Umeninyima picha uliyoweka?Khaaa ile hapana mchumba
Yes AnneKweli?
Ndio maana
Sasa Mimi nakaa kule mama Joni ndanindani karibu na Ilemi
Nkamu naomba uedit comment yangu kwenye jinaila yule Kaka Mungu amsaidie tu Nkamu, sio kila kitu cha kuleta hadharani

Kweli unapendezea surualiMwee
Acha uongo
Kabisa yaaniNdio maana
Umeshindikana

Kweli unapendezea suruali
Official fulani hivi




Sina picha mpya mkuuMweee
Onyinye wa Uyole?
Tubariki na picha
Aisee kila kitu mazoea
Najionaga kama nipo uchi
HapanaAisee kila kitu mazoea
Hiyo sio suruali ya kitambaa ?
Jeans ndo huwa zinabana sana

Hata za zamani boss
Nimesisimka
Najionaga kama nipo uchi
Ooh okayHapana
Siyo kitambaa.
Ni kama kitight hivi yaani huwa kinanichekesha![]()




Hapo cafe sijui n grocery, waambie wawe wasafi, sinia lina kutu, meza sasa ile ya buchan ya kukatia nyama nzuri, aaaaah siwezi mie khaaah



Ashakuwa wa kwetu buzaPrivacy zipi hizo?
Vocha siku hizi zina privacy?