Huwa nasikia wanafunzi wa ud hamtoki hapo mlimani kumbe sio wote (joking)Kheeeeh kumbe mlimani city ndo hapo? Pazuri kumbe aisee.
![]()
Nipe huyo wa kote kotejinga wee.

Wee hapo ni mtoto, sasa umafuga ndevu ili uonekane mkubwa woiiiioh,cocastic labda ww






Kiukweli niliwah enda mara 1 tena na shost angu, alinivuta tyuuh nmpeleke, ilikua mwaka jana mwanzon, sijawahi enda mie, na sina cha kufuata palee.Huwa nasikia wanafunzi wa ud hamtoki hapo mlimani kumbe sio wote (joking)
Ko uliyenae n wa Hyatt regency tyuuh? Kazi unayoooo,Nipe huyo wa kote kote![]()






Salama kabisa, lile zoezi letu umeliweka pembeni kabisaHabari ya leo rafiki ?
Friday njoo unywe JD acha manenoKo uliyenae n wa Hyatt regency tyuuh? Kazi unayoooo,![]()
Miss u.Habari ya leo rafiki ?
Hehehendo nn hiyo JD?
MhhMiss u.
Ooh okay nimekumbuka siku ya kwanza kuingia mule nilingia kwa woga ... nilikuwa kafupi ikabidi niingie na mbaba mmoja hivi pale getini hata simfahamu namfuata nyuma tuKiukweli niliwah enda mara 1 tena na shost angu, alinivuta tyuuh nmpeleke, ilikua mwaka jana mwanzon, sijawahi enda mie, na sina cha kufuata palee.

.Mhh mnaongelea mlimani city?Ooh okay nimekumbuka siku ya kwanza kuingia mule nilingia kwa woga ... nilikuwa kafupi ikabidi niingie na mbaba mmoja hivi pale getini hata simfahamu namfuata nyuma tu.
Ila una sehemu zako za mitoko ..
Hapana rafiki sema nitakuabisha kwenye maji huko ..Salama kabisa, lile zoezi letu umeliweka pembeni kabisa
Miss you too babesMiss u.