Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Hebu kwanza nitagini na Mimimbna yule anajulikana? Si jina linaanzia na "CO" hahahahah mambo pambeeeeeh.
Umbea unaendelea hapa mjini na hamsemi
Hebu kwanza nitagini na Mimimbna yule anajulikana? Si jina linaanzia na "CO" hahahahah mambo pambeeeeeh.
Kuna nini eti dogo?
Mimi soksi sikuweza kulala nazo hadi asbhNajaribu kupunguza
Leo asbh wakati navua soksi nimehisi ulaini kwenye nyayonimehamasika sana

Shingo yake amazingNi kweli kwenye lips na shingo![]()






Ni gauni fupiIna shati yake au n gauni?![]()
Watu hawana kumbu kumbu tyuuh, alishawahi kuleta mada ya vile mwaka jana, ila kwa lugha ya bibi Elizabeth, ndo maan now kaleta kwa ID ingne, afu muandiko unamuumbua.Jamani dogo unanivuruga![]()
Nilisoma ule uzi nikiwa na usingizi, sikumbuki hata usernames
CO ndio mshalidadavua? Au wajuba waliyamwaga katikati ya comments?






Dada angu, nilitaka kukutag wee ndo kwanza, mkaogopa ntakuharibia kwaresma. Nipe ruhusa nikutag.Kuna nini eti dogo?
Naona mnaitana tu
Ngoja nikutag ila usinilaumu lakini.Hebu kwanza nitagini na Mimi
Umbea unaendelea hapa mjini na hamsemi
Nitag tuDada angu, nilitaka kukutag wee ndo kwanza, mkaogopa ntakuharibia kwaresma. Nipe ruhusa nikutag.

La watoto watukutu walioshindikana kwaoZuri mnoo.![]()

La watoto watukutu walioshindikana kwao![]()
Khaaaa 🤣🤣🤣Watu hawana kumbu kumbu tyuuh, alishawahi kuleta mada ya vile mwaka jana, ila kwa lugha ya bibi Elizabeth, ndo maan now kaleta kwa ID ingne, afu muandiko unamuumbua.
Watu tushamnyaka kitamboo. Hahahah mie janaa niliitaja "Co" akanambia nifute hahahahah
![]()
Mwambie nitambonda
Khaaaa![]()





mie ndo maan sitaki kufungua ID ingne naona nitabambwaa ktk kichwa cha post tyuuh, kabla ya maelezo enyewe. Uwiiiiiih