Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,223
Emu taja herufi z mwisho za COmie ndo maan sitaki kufungua ID ingne naona nitabambwaa ktk kichwa cha post tyuuh, kabla ya maelezo enyewe. Uwiiiiiih
Bongo limekuwa zito
Emu taja herufi z mwisho za COmie ndo maan sitaki kufungua ID ingne naona nitabambwaa ktk kichwa cha post tyuuh, kabla ya maelezo enyewe. Uwiiiiiih
Nambie
NikuoneNambie
Nipo..mambo vipi???
Ngoja niendeTayari nshakutag huko.![]()
Rudisha picha uliyofutaNyau wewe![]()

Watu wameamua kushindikanika kwao

AbeeDah 🤣🤣🤣
Ni kule tunakotakiwa kuchekecha akili kuijua ID kongwe?
Ahsante rafiki na kwako pia.
Hapa tuliopoa Kwa kweli
Kama siyo mnyakyusa vile
Au umechanganya kidogo nkamu?

Najaribu kupunguza
Leo asbh wakati navua soksi nimehisi ulaini kwenye nyayonimehamasika sana

Siku hizi watu wapo siriazi na kutokupekua![]()
Ni kweli kwenye lips na shingo![]()

nakafananisha na kadogo kangu ka ofisini yaani angekua mnene ningesema ni yeyeHebu kwanza nitagini na Mimi
Umbea unaendelea hapa mjini na hamsemi