Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Ha ha haaaaaaThank you seniour Yuda🙏🤣🤣🤣
Ha ha haaaaaaThank you seniour Yuda🙏🤣🤣🤣
HeeeShindwaaa
Unataka uniingize kwenye mnyonyoro wa Yuda
Hivi unamtafutia nini? Badala hata umuulizie yule wa pombe.
Na kuna juzi kati nili hang nae sana hapa![]()
Utajua hujui



Dah
Ni kule tunakotakiwa kuchekecha akili kuijua ID kongwe?





mbna yule anajulikana? Si jina linaanzia na "CO" hahahahah mambo pambeeeeeh.Tuendelee na kaziSa itakuwaje!!!!
![]()

Kakidevu
Mdomo
Shingo
Nkamu unatuwakilisha vyema kutoka kule nyanda za juu kusini.
Tunatembea kifua mbele![]()



Ni kweli kwenye lips na shingo 🥰ila wewe![]()
Mbna haya maneno yananihusu mie kabisaaa, nikionaga hivi bas ndo nazidi kuimarika maradufuuuuh.
vzr km umeamka salama,nafurahi kusikia hv. Tupia kaselfie kdgNimeamka salama,sijui wewe?
Najaribu kupunguzaSiku hizi watu wapo siriazi na kutokupekua![]()
Mdogo wetu ukishachekecha akili utanitajia basi hiyo ID.
Mimi naendelea kuchekesha akili huku kumjua yule uliyesema amepotea humu![]()









Shindwaaa
Unataka uniingize kwenye mnyonyoro wa Yuda
Hivi unamtafutia nini? Badala hata umuulizie yule wa pombe.
Na kuna juzi kati nili hang nae sana hapa![]()
Utajua hujui









Najaribu kupunguza
Leo asbh wakati navua soksi nimehisi ulaini kwenye nyayonimehamasika sana







Hapa tuliopoa Kwa kweliila wewe![]()





Jamani dogo unanivuruga 🤣mbna yule anajulikana? Si jina linaanzia na "CO" hahahahah mambo pambeeeeeh.
Ni gauniIna shati yake au n gauni?![]()
