Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Shindwaaa
Unataka uniingize kwenye mnyonyoro wa Yuda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Hivi unamtafutia nini? Badala hata umuulizie yule wa pombe.
Na kuna juzi kati nili hang nae sana hapa [emoji2224][emoji2224]
Utajua hujui
Heee [emoji23]
Yaani napitwa bila kujua???

We subiri ngoja niendelee kuangalia [emoji23]
Usinipe assignment ingine wakati niliyojipa sijaimaliza.

Kwenye uyuda uingie mara ngapi sasa mdogo wetu?[emoji1787]
 
Shindwaaa
Unataka uniingize kwenye mnyonyoro wa Yuda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Hivi unamtafutia nini? Badala hata umuulizie yule wa pombe.
Na kuna juzi kati nili hang nae sana hapa [emoji2224][emoji2224]
Utajua hujui
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mbna yule anajulikana? Si jina linaanzia na "CO" hahahahah mambo pambeeeeeh.
Jamani dogo unanivuruga 🤣
Nilisoma ule uzi nikiwa na usingizi, sikumbuki hata usernames

CO ndio mshalidadavua? Au wajuba waliyamwaga katikati ya comments?
 
Back
Top Bottom