Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watu hawana kumbu kumbu tyuuh, alishawahi kuleta mada ya vile mwaka jana, ila kwa lugha ya bibi Elizabeth, ndo maan now kaleta kwa ID ingne, afu muandiko unamuumbua.
Watu tushamnyaka kitamboo. Hahahah mie janaa niliitaja "Co" akanambia nifute hahahahah


Tutajie wenzio hata PM unatutesa ni nani kuanza kutafuta CO kirefu chake jamani sema ana ujasiri sio wa kitoto ila wewe ni mwehu nilikua nasoma comments zako usiku mbavu sina
 
20220413_120310.jpg
 
Tutajie wenzio hata PM unatutesa ni nani kuanza kutafuta CO kirefu chake jamani sema ana ujasiri sio wa kitoto ila wewe ni mwehu nilikua nasoma comments zako usiku mbavu sina
Co.... on.

Aaaaah watu wanauliza maswali kutaka kujua, muhusika hajibu mie nkawa namsaidia vile.
 
Nkamu acha kudeka ungevumilia jamani basi usiwe unapaka mafuta ila huo ujoto joto ndo unalainisha miguu
Mwee
Kuvaa viatu nimeweza.
Yaani sikayagi chini peku na mguu wangu ila kimbembe soksi
Ngoja Leo nijikaze
 
Back
Top Bottom