mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Nkamu mimi nilianza kwa kasi juzi kati hapawatu hawataki utani hata kidogo
Jana nilikuwa busy na mpira wa chelseaNkamu ulipitwajes
Watu hawana kumbu kumbu tyuuh, alishawahi kuleta mada ya vile mwaka jana, ila kwa lugha ya bibi Elizabeth, ndo maan now kaleta kwa ID ingne, afu muandiko unamuumbua.
Watu tushamnyaka kitamboo. Hahahah mie janaa niliitaja "Co" akanambia nifute hahahahah
![]()


sema ana ujasiri sio wa kitoto ila wewe ni mwehu nilikua nasoma comments zako usiku mbavu sinaAiseeNyakyusa Og kutoka Kapwili Kyela![]()
Emu taja herufi z mwisho za CO
Bongo limekuwa zito

Nkamu mimi nilianza kwa kasi juzi kati hapa
Nikaweka hadi picha humu..nikakutag.
Matokeo yake zile soksi nlivua usiku baada ya joto kunizidia.
Jana nilikuwa busy na mpira wa chelsea
Aisee
Basi wewe nkamu walikuphotoa vizuri aisee
"Co....on"Emu taja herufi z mwisho za CO
Bongo limekuwa zito






Tutajie wenzio hata PM unatutesa ni nani kuanza kutafuta CO kirefu chake jamanisema ana ujasiri sio wa kitoto ila wewe ni mwehu nilikua nasoma comments zako usiku mbavu sina






Co.... on. 






MweeNkamu acha kudeka ungevumilia jamani basi usiwe unapaka mafuta ila huo ujoto joto ndo unalainisha miguu

