Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha kweli aisee
Kuna misuko inakata balaa nilisukaga mwiba wa samaki aisee ile nywele balaa ...kuifumua ni shida lazima utajuta ,nywele ilikatika balaa
Na yenyew inakata nywele kumbe?
Hiyo style mtu akiiona anakutamani kichwa kilivyopendeza.

Kuna saa inabidi tu kufumba macho unajitoa ufahamu unasuka zako hivyo hvyo asa utafanyaje na mtu unataka kupendeza.
 
Sana Ila makosa ni kuisuka nywele ya ndani na kuikaza kiuhalisia inabidi ya ndani ilegee Ila tunabana matumzi zikae zidumu muda kidogo Ila ni shida
Kweli na kama msusi hajakaza unaona hajakusuka vzuri.
Nywele za mbele zilivyo laini hazitaki kuvutwa.

Na wengi wanasukia uzi ili nywele ya mbele ishike vizuri kumbe ndio nywele inaharibiwa hapo
 
Na yenyew inakata nywele kumbe?
Hiyo style mtu akiiona anakutamani kichwa kilivyopendeza.

Kuna saa inabidi tu kufumba macho unajitoa ufahamu unasuka zako hivyo hvyo asa utafanyaje na mtu unataka kupendeza.

Yaani unasifiwa balaa .. nakumbuka sijawahi kusifiwa na watu vile .. kikomwe kinachongeka ipasavyo

Aisee mpaka nisahau ndo nije kuisuka tena maana maumivu mabichi bado yapo tena ,bei yake nafuu kabisa 2000 ya fundi na 1500 ya rasta .
 
Back
Top Bottom