Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Na zilikaa, kaz yangu ilikua kupaka tu mafuta basi na kuziweka sawa.Kweli zinapendeza balaaa
Huwazi kusuka wala tena unaweza kukaa nazo hata miezi mitatu.
Huo ndo ubaya wake huo .. nikija kunyoa tu ah naweka siwezi baki kipara .
Yaani ni nzuri, nishazimiss. Mwenyew hizi zikinichosha sitaweka dawa had nywele za dawa ziishe ibaki natural niweke curl tena





