Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Amekamilika boss ledi wetuMbona kama umekamilika dada
Kasura kazuriiiii
umbo no 8
hongera![]()
Na karangi kama kako


Amekamilika boss ledi wetuMbona kama umekamilika dada
Kasura kazuriiiii
umbo no 8
hongera![]()


Mimi huyu nikachambue na GelUnaweza kuchambua na gel au hapana
Mimi nikisuka Havana ina mawimbi balaa na sikuwekwa gel , nilijitahidi siku za mwanzoni hizo zikaanza kujikunja .
Sijaelewa mkuu!Challenge imeshika kasi haswa!
Naona leo mko na challenge ya nywele, na sisi tunakuja na ya ndevu 😀😀Sijaelewa mkuu!
Hahaha utunzaji wa nywele mgumuMimi huyu nikachambue na Gel
Sasa na hili joto nilikuwa nazining'iniza tu juu
Shusha shusha picha kwa chini











Namshangaa boss ledi anahangaika wakati kichwa kizuri akikipeleka Kwa fundi chap kinasukwa fast
Na miaka yote zinavurugika hivyohivyoHahaha utunzaji wa nywele mgumu
Ndo maana zikavurugika

Wacha wee
ukiniona utakimbia mweh!!!Amekamilika boss ledi wetu
Na karangi kama kako![]()
Na fundi akiona kichwa kidogo anafuraaahiYani huwa hawachelewi kunimaliza ila mie kukaanga chini ndio kasheshe!! Mvivu kukaa mie
Daah pole sanaYaani inakuachia maumivu plus .
Nyuma mimi ndo nina shida zilikatika zaidi .
Jirani uko vizuri.
Alitisha 🤣🤣Tumsifu Bwana.
Hii ni picha ya bibi harusi mmoja huku faraghani uwata
Team nachuroView attachment 2180805
Mbele labda nisuke yebo hivi ndo zinakatika nyingi .. huku kwenye kichogo ndo kuna shida .Daah pole sana
Me za mbele ndio laini zinakatika balaa
Ah wapiukiniona utakimbia mweh!!!
Alizitokea ila ulipendezaNilisukwa na mwanafunzi hapa hakunipatia vizuri na hiyo bamabucha ilikuwa na rangi mbili mara wakaikata ili ziwe nyingiView attachment 2180817
Unapendeza ukinyoaAlitisha
Nakata nywele ila kwa event kama hizo aisee
Wapi kikofia, lazima nijitwike aisee
AsanteAlizitokea ila ulipendeza