Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Au ni mimi tu nayezurula mara sabasaba..mara square
Na yale matope
Gorgeous![]()
Haya dear
Ngoja niulize ulize saluni wanapotengeneza hivyo
Msupuu
Saint Anne huko hizi wanazisuka bei gani???
Kwani uongo nkamu??ila wewe hiyo msaafi![]()

UbarikiweHaya dear
wee chizi kweli!Tukaone![]()
kumbe bei hazitofautiani sana mie pia nilisuka 60 Jack PalladinoNajua sasa?
Ila siyo chini ya 60
Yaani 60 kuendelea
Ila Dom kuzuri sana aiseeeMimi sipendi kutembea nkamu ni heri nilale hata week nzima![]()
labda Usiku sawa nalichukia jua sana
🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Si tunaona kalivyo ka ajabu
Saluni kubwa kubwa watampiga hadi lakikumbe bei hazitofautiani sana mie pia nilisuka 60 Jack Palladino
Unatupia eeh,?
Amen nawe pia mpendwaUbarikiwe