Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Nitumie kwanza hizo nikutunzie😋😂😂😂
Yan sielewi elewi
Wanaosemaga money isn’t everything mbona leo nawaelewa 🙈View attachment 2180778
🤪Mwee itakuwa hormone ya hamu imezidi..
Nisake mtoto sasa
3500 ikakuachia majeraha😂😂Yaani unasifiwa balaa .. nakumbuka sijawahi kusifiwa na watu vile hadi wanaume .. kikomwe kinachongeka ipasavyo
Aisee mpaka nisahau ndo nije kuisuka tena maana maumivu mabichi bado yapo tena ,bei yake nafuu kabisa 2000 ya fundi na 1500 ya rasta .
Kama mwiba wa samaki ulivyo ndo jinsi ulivyo .
Msuko fulani hivi wa kijinga sema unapendeza balaaa huwa nasukaga mbili kichwa
Unaweza kuchambua na gel au hapanaNdo kilichonipata
Huwaga nazikunja
Kuchambua sijui
Vinapunguahormone ni shida Sana Yan unaweza ukamaliza vipodozi
Yaani inakuachia maumivu plus .3500 ikakuachia majeraha
Na za nyuma zilikatika pia, au mbele tu
Kuja tukalewa sodaTugawane mdogo etu![]()
Challenge imeshika kasi haswa!Kichwa changu kidogo View attachment 2180796
Ewah
Kichwa changu kidogo View attachment 2180796


Kizuri
Ulitaka uwe na bichwa kama sufuria?![]()



Shoti heyaaa pho laifuView attachment 2180799
Ndiyo Mzee




Kamera Mpenzi!!Mbona kama umekamilika dada
Kasura kazuriiiii
umbo no 8
hongera![]()
kwa hiyo umeamua unitukane
kwamba wenye vichwa vikubwa vimekaa kama sufuria




