Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20220408_194841.jpg


Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Yaani unasifiwa balaa .. nakumbuka sijawahi kusifiwa na watu vile hadi wanaume .. kikomwe kinachongeka ipasavyo

Aisee mpaka nisahau ndo nije kuisuka tena maana maumivu mabichi bado yapo tena ,bei yake nafuu kabisa 2000 ya fundi na 1500 ya rasta .
3500 ikakuachia majeraha😂😂

Na za nyuma zilikatika pia, au mbele tu
 
Back
Top Bottom