Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Nitumie kwanza hizo nikutunzie😋😂😂😂
Yan sielewi elewi
Wanaosemaga money isn’t everything mbona leo nawaelewa 🙈View attachment 2180778
🤪Mwee itakuwa hormone ya hamu imezidi..
Nisake mtoto sasa
3500 ikakuachia majeraha😂😂Yaani unasifiwa balaa .. nakumbuka sijawahi kusifiwa na watu vile hadi wanaume .. kikomwe kinachongeka ipasavyo [emoji23]
Aisee mpaka nisahau ndo nije kuisuka tena maana maumivu mabichi bado yapo tena ,bei yake nafuu kabisa 2000 ya fundi na 1500 ya rasta .
Kama mwiba wa samaki ulivyo ndo jinsi ulivyo .
Msuko fulani hivi wa kijinga sema unapendeza balaaa huwa nasukaga mbili kichwa
Unaweza kuchambua na gel au hapanaNdo kilichonipata
Huwaga nazikunja
Kuchambua sijui
Vinapungua[emoji23][emoji23]hormone ni shida Sana Yan unaweza ukamaliza vipodozi
Yaani inakuachia maumivu plus .3500 ikakuachia majeraha[emoji23][emoji23]
Na za nyuma zilikatika pia, au mbele tu
Kuja tukalewa sodaTugawane mdogo etu[emoji847]
KizuriKichwa changu kidogo View attachment 2180796
Challenge imeshika kasi haswa!Kichwa changu kidogo View attachment 2180796
Ewah
Kichwa changu kidogo View attachment 2180796
Kizuri
Ulitaka uwe na bichwa kama sufuria?[emoji23]
Shoti heyaaa pho laifuView attachment 2180799
Ndiyo Mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamera Mpenzi!!Mbona kama umekamilika dada[emoji3589]
Kasura kazuriiiii
umbo no 8
hongera[emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwa hiyo umeamua unitukane[emoji23][emoji23][emoji23]
kwamba wenye vichwa vikubwa vimekaa kama sufuria