Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nina nywele nyingi halafu nzito ila sasahivi zimekatika sababu naweka rangi sana,natumia beautiful beginning miaka yote na inanifaa sana,pia natumia cantu(leave-in conditioner sababu nywele zangu kavu,napia nafanyaga deep conditioning natumia dark n lovely conditioner...
Kumbe texture ya nywele zako inafanana na yangu!
Mi beautiful nilitumia zamani ndo nikahamia olive!
Walivyo let's mpya ndo balaa lilipoanzia!

Sshv nimekuwa nazikata kidogo kwa juu mara kwa mara sbb nimebadirisha dawa,taratibu mpk zikae sawa
Ila sina mambo mengi ya sijui conditioner hapana!
But MPL ni mafuta mazuri sn
 
Kumbe texture ya nywele zako inafanana na yangu!
Mi beautiful nilitumia zamani ndo nikahamia olive!
Walivyo let's mpya ndo balaa lilipoanzia!

Sshv nimekuwa nazikata kidogo kwa juu mara kwa mara sbb nimebadirisha dawa,taratibu mpk zikae sawa
Ila sina mambo mengi ya sijui conditioner hapana!
But MPL ni mafuta mazuri sn

Ila nywele kama zetu beautiful beginning ni nzuri sana,mimi ncha nakata mara chache sana...MPL sijawahi kuyaona ni ya wapi?
 
Na huwezi amini kwa sshv zimekatika sana tu,japo kwa asiyenifahamu anaona bado nina nywele! Ofcoz bado zipo sana sbb nina asili tu ya nywele!

But shida kubwa ni kupata dawa itakayokupenda,mi nilikuwa natumia Olive oil ya box ambayo kwa ss haipo kabisa,wameleta olive mpya ambazo mi zimenikataa kabisa !
Sijui steaming,conditioner skuwahi kuhangaika na hivyo vitu!
Nilichofanya nimerudi kwenye' Revlon' baada ya kuhangaika! Ni dawa ya zamani haina mambo ya kuchakachua sijui nn!
Ila mbadala wa olive kidogo naona iko vzuri ni mega growth lkn uwe unatumia product zote
nywele zinakua Bomba Sana pia uwe Makin kwenye kuretouch ni Mara moja kwa miez minne hapo nywele utaielewa
 
Kumbe texture ya nywele zako inafanana na yangu!
Mi beautiful nilitumia zamani ndo nikahamia olive!
Walivyo let's mpya ndo balaa lilipoanzia!

Sshv nimekuwa nazikata kidogo kwa juu mara kwa mara sbb nimebadirisha dawa,taratibu mpk zikae sawa
Ila sina mambo mengi ya sijui conditioner hapana!
But MPL ni mafuta mazuri sn

Huwa unakata ncha ooh
Nimeambiwa mara nyingi hili napuuzia labda ndo maaan vimegomea hapo hapo .
 
Aisee pole
Ni kweli wameleta olive mpya aisee , kumbe inachagua hivyo .. hujawahi kutumia Mega

Kha una asili ya nywele yaani hajauwahi fanya steaming aisee bila steaming mimi nywele haiendi . Jaribu kufanya hata steaming ya bamia

Nakumbuka nilihamia kwa olive box then baada ya muda nikarudi kwa dawa ya kopo aisee nywele huku nyuma zilikatika zote nikawa kichekesho .
Ikabidi ninyoe nianze moja
Pole!
Yes nilijaribu zote hizo mpk ,tcb,autra sheen,radiant,movit hakuna kitu nywele zikawa hazishiki dawa na zinakatika,mwisho nikaweka 'Tee Tree ,yaani ilishika vzr ila ilichonifanya
Nywele zilikuwa zinatoka km MTU anazikata vile!
Ndo nikaona isiwe shida kidogo nizikate,nikazisuka ili nisizione ,nilipofumua ndo nikaanza Revlon japo nayo haishiki sn ila bado naangali! Mpk nirudie mara 4 hivi nitapata jibu.
Ni kweli mi na hivyo vitu steaming sijui nn hapana kwanza siamini sn!
Shida ya dawa ndo hiyo,yaani wanabadirisha product mpk wanaboa basi tu.
 
Back
Top Bottom