Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,850
- 37,558
Kwahiyo hujatoboa masikio love?Huwa navaa za kubana mara moja .
Nzuri zipo kariakoo huku mitaani hamna .
Kwahiyo hujatoboa masikio love?Huwa navaa za kubana mara moja .
Nzuri zipo kariakoo huku mitaani hamna .
Za mitaani hizi za kubandika ni sio nzuri sanaOoh
Hata mitaani zipo ni namna tu ya Ku select!
Inategemea unapenda zipi
Mtaa wa congo dearKariakoo mtaa gani?
Mbona umeweka "negative"?
Sijatoboa last time ilikuwa nitoboe nikaghairiKwahiyo hujatoboa masikio love?
Hereni kubwa hizi huwa zinapendeza mno .
Basi tuMbona umeweka "negative"?
Sijatoboa last time ilikuwa nitoboe nikaghairi
Wengine wana mikono mibaya nasikia .
yaani nimegundua we ni muoga!Hujakosea sanayaani nimegundua we ni muoga!
Mi nimetoboa nikiwa mkubwa hivihivi
Nenda kwa sonara bwana

Iko page no ngapi?
dak kadhaa na mie ndani.. leo ijumaa pananoga sana 🤓🤓🤓
Shangaziiiiii 😊😊😊😊Imeshafutwa kaka..
Punguzeni kufuta.Imeshafutwa kaka..
UmetukomeshaBasi tu


Beautiful Dodoma
