Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Upo na babu wako wa mchongooo... 😀😀😀😀.. mnakula bwataaa leo nipo na Putin tuNipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
Upo na babu wako wa mchongooo... 😀😀😀😀.. mnakula bwataaa leo nipo na Putin tuNipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
Namsubiri kwa hamuAtakuwa yupo njiani kukuletea mtumishi
Mimi nina picha kama utitiri humuBado wewe Boss![]()
🤣🤣🤣🤣🤣Na hapo hujaenda location..
Ukienda sasa ukapiga ya yale macamera kama yule mdada wa matege aloo server zinachanika🔥
Color🥰❤️👌Nipo lokeshen, njoo basi
View attachment 2179315
Kamandaaa!
Hahaa walikufanyaje mkuuKukuona kwenye combat umenikumbusha mbali sn..hongera mkuu
Siku moja niliingia mzinga corporation saa 6 usiku,nilikuwa nadharura Fulani ..kilichotukuta pale getini dah!! Nashukuru nilikuwa najulikana na baadhi ya wakubwa pale,Ila wwnajeshi mnazingua sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app


Dada tunazipenda server zetu😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Anne bwana...ila siku moja nami niende location Jamani😂😂😂
Imeisha hiyooo... babuu wa kujiongezaaa 😀😀😀😀😀Babu kaenda shamba na mjukuu wake Depal
Af babu wetu sio wa mchongo bana
Aiseee!
Sijui amefika wapiNamsubiri kwa hamu
Zako sasa zinabalance equation vizuriAnza wewe mimi nakufuata!


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jamani AnneDada tunazipenda server zetu😂😂😂😂😂
Za bila lokesheni tu unawafunika gugo
Ukienda huko lokesheni twafwaaa😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
Utavunja server za maxence
Niwekee nyimbo ya mchizi mox,hadithi na Ngoma ya Saigon 'niaze na kibongo bongo au kinyamwezi'
Cha muhimu ni kufika salama tu nkamu. Mengine yote ni madogoLipo slow sana Nkamu tumeondoka Dar saa nne ila mpaka sa hivi hata Gairo hatujafika


Tushasema hakuna kama boss ledi![]()
! Acha Yna2 atukomeshe kwanza
!