Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Aiseee..
Uzi unatetema![]()
Nimeshaselfika!!Za zamani 🙂
Za lile shepu
😂😂😂😂Jamani. .Lips mtoto
JF ina visuu
Jamani. .
Visu wapi camera tu hizoo
Yaani hawa wakienda location mbona wanavunja server mazima😂Naomba suala la namba 8 tuwaachie Yna na mahondaw
Kila aina na makali tofauti tofauti...Lips mtoto
JF ina visuu
Na hapo hujaenda location..😂😂😂😂Jamani. .
Visu wapi camera tu hizoo
Na Boss Lady akitupia kakitu basi kwisha kazi kabisa!Aiseee..
Uzi unatetema![]()
MadamSalute Kamandaaaa!![]()

Atakuwa yupo njiani kukuletea mtumishiNakujaaa kuifata chap😋
Hivi mtumishi Pep kapotelea wapi
Kitengo unakutendea hakiiiii 😂upambe kwakwenda mbeleee🤣🤣🤭!Yaani hawa wakienda location mbona wanavunja server mazima😂
Nimefurahi kukuona mwambaKukuona kwenye combat umenikumbusha mbali sn..hongera mkuu
Siku moja niliingia mzinga corporation saa 6 usiku,nilikuwa nadharura Fulani ..kilichotukuta pale getini dah!! Nashukuru nilikuwa najulikana na baadhi ya wakubwa pale,Ila wwnajeshi mnazingua sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
mie naona macho tu.. hayo mengine tupa kule 😎😎